Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wamefungiwa kusajiri na pia waliwauza wale wachezaji wa kikosi cha kwanza kabla hawajafungiwa wengi unaowaona wamepandishwa kutoka Don bosco timu yao ya mazembe na pia pana kipa kutoka Nigeria anacheza kama striker maana hawana wafungaji na wapo kwenye kifungo wakina kinzubi walishauzwa na Adelepo..Mazembe miaka kadhaa sasa imepoteana siyo ile Mazembe ya miaka ile.kwa sasa wanaanza kujenga team upya. Yaani kiuwezo hata Yanga ipo vizuri sana kuliko Mazembe hii ya sasa hamna team hapo. Hii Mazembe hata Yanga ikicheza nao mara 5 itawafunga tu.
Anahitaji draw kuongoza kundi. Na hapo bado ana game na Mazembe home.Al hilal anacheza na yanga kabla ya kukutana na mazembe.
Al hilal hawezi kukubali kumaliza nafasi ya pili ili akutane na al ahly au esperance atataka amalize wa kwanza apate unafuu
Sasa nyinyi ndio mnakwenda KUTOKA tunza hii comment screenshot kabisaKwenye mechi mbili Simba kutafuta point 1 ni hali ngumu?
Kama mwenye point 9 ana hali ngumu vipi mwenye point 4 hali yake ipoje?
[emoji23][emoji23]Mbona unaongea kinyume chake? Yanga ipo vizuri
View attachment 3193593
Yaani unaichukulia poa TP Mazembe iliyocheza semi final last season 😂🤣
Basi wazuri ni Makolo wanashiriki mashindano ya akina mama
Huna akili wewe. Nyie ndio mlikaririshwa huwezi kupata matokeo ugenini sisi ndio ndio tukaja kuwaaminisha inawezekana. Leo wewe unaharisha nini hapa na huna unalojuaIbenge hawezi kufungwa kwao nyie Uto, acheni ndoto za mchana.
Huyo mwenye 4 anacheza na wasiokuwa na hali sio?Mwenye 4 ana ari, nguvu na uwezo. Huyu mwenye 9 anabangaiza na kubahatisha.
Usiniulize kama ana ari, nguvu na uwezo kwann ana 4? Jibu ni kwamba gari lake lilichelewa kuwaka.
Hivi sasa hata Real Madrid anapigwa mkono
Wamefungiwa kusajiri na pia waliwauza wale wachezaji wa kikosi cha kwanza kabla hawajafungiwa wengi unaowaona wamepandishwa kutoka Don bosco timu yao ya mazembe na pia pana kipa kutoka Nigeria anacheza kama striker maana hawana wafungaji na wapo kwenye kifungo wakina kinzubi walishauzwa na Adelepo..Msimu uliopita si ilicheza Nusu final ya CCL? Team ya hivyo unaiitaje mbovu!?
"Wamefungiwa kusajiri na pia waliwauza wale wachezaji wa kikosi cha kwanza kabla hawajafungiwa wengi unaowaona wamepandishwa kutoka Don bosco timu yao ya mazembe na pia pana kipa kutoka Nigeria anacheza kama striker maana hawana wafungaji na wapo kwenye kifungo wakina kinzubi walishauzwa na Adelepo.."Yaani unaichukulia poa TP Mazembe iliyocheza semi final last season 😂🤣
Basi wazuri ni Makolo wanashiriki mashindano ya akina mama
We unazo sasa 🤣Huna akili
Bado mko pale pale kama baiskeli ya kunolea visuWeka tena hii meza
Ufuzu uende wapi mechi 4 point 4 🤣mwisho wa siku tunafuzu kwa point 8 wewe wa 9 una baki
Maajabu hayajawahi kuisha mkuu, yaani Al hilal kawapasua kundi zima halafu bado wanamchukulia poaAl Hilal sio mgumu kwenu?
Kombe la watoto kimpira au ushabiki tu?Kombe la watoto
Ukiona mimi sina ww kichwa yako imejaa mlendaWe unazo sasa 🤣
Msimu uliopita waliishia hatua gani CCL?Wamefungiwa kusajiri na pia waliwauza wale wachezaji wa kikosi cha kwanza kabla hawajafungiwa wengi unaowaona wamepandishwa kutoka Don bosco timu yao ya mazembe na pia pana kipa kutoka Nigeria anacheza kama striker maana hawana wafungaji na wapo kwenye kifungo wakina kinzubi walishauzwa na Adelepo..
Kilevi unachotumia kinakupoteza.Sasa nyinyi ndio mnakwenda KUTOKA tunza hii comment screenshot kabisa