FT: CAFCL: Asas Djibouti FC 0-2 Young Africans SC | Azam Complex | 20/08/2023

Yanga mkumbuke mwaka huu mkijilegeza hamuendi confederation. Tunataka muone ilivyongumu kuingia robo fainal champion.
 
Hata mechi ya Zalan ilikuwa hivyo. Hii ni CAF champion league. Msiongee sana
Mpira hauchezwi kwa mdomo. Kwenye ngao ya hisani mlikuwa kimya.
Kumbuka kuweka maneno ya akiba
Hatuongei kwa kuropoka ama kubishana bali kwa umakini, na uchambuzi yakinifu. Hii michuano ya CAF hakika ni mtihani mgumu kwa klabu ya Young Africans.
 
Mashabiki wa Yanga hawana tofauti na forward ya timu yao.
Forward butu kwenye ufungaji
Mashabiki nao ni butu kuchangia kwenye threads zao online. Ona kama uzi huu ulivyo doda, majority ya waliourefusha hata kufikia hapa ni Mashabiki wa Simba.
Sijui Mashabiki wa Yanga wanashindwa kujinunulia bundle? Au labda wengi siyo internet and technology savvy.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hawana furaha na ushindi wao maana walidhani watashinda 5 au sita expectations zimekua hovyoo
 
Hatuongei kwa kuropoka ama kubishana bali kwa umakini, na uchambuzi yakinifu. Hii michuano ya CAF hakika ni mtihani mgumu kwa klabu ya Young Africans.
Mtu akisoma hapa atafikiri Simba aliwahi kuleta kombe. Iwe shirikisho au club bingwa, simba kaishia robo fainali. Shirikisho Yanga kafika fainal msimu uliopita, ukishindwa kuona hii tofauti basi kichwa chako ni mzigo kwa shingo. Ningekuelewa ungesema kuwa, kwa sasa Yanga inashida katika umaliziaji ningekuelewa, game ya leo Yanga alipaswa kufunga magoli zaidi na pia alipaswa kumpasua Simba ndani ya dk 90 ile game iliyopita.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Safi
 
Thread ya Simba kwenye mechi ya Ligi Kuu ina wachangiaji wengi kuliko Yanga kwenye hii mechi ya kimataifa.
Simba ina Wachangiaji mara mbili zaidi.
Huenda kama siyo Manara kwenda Yanga kuichangamsha, basi ingezidiwa mashabiki na hadi na Singida Fountain
 
EDEN RAGE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…