FT | CAFCL Final: Al Ahly SC 2-1 Wydad AC | First leg 04/06/2023

FT | CAFCL Final: Al Ahly SC 2-1 Wydad AC | First leg 04/06/2023

Usikurupuke, mi sio Yanga wala sio Simba. Huwa sioni tu kwanini mmoja apite Ilhali aggregate ni sawa. UEFA walibadili hii Sheria. Game haiwezi kuwa the same, yaani kwa kuwa tulitoka moja moja kwangu kwako tutoke bilabila Mimi niwe nimepoteza. Why? Kuna factors mbalimbali zinazoaffect Hali ya mchezo hadi kuona variation
Mantiki ya kuweka goli la ugenini ni ili kuipa hamasa timu ngeni kushambulia badala ya kupaki basi wakisubiri kwenda kucheza kwao
 
Nitakuja kukujibu baadaye
Lini huo mgogoro? Ilikuwa nani vs nani? Mgogoro ulihusu nini? na je wawakilishi wa vilabu walipitisha hii kanuni
Mgogoro ulitokea mwaka jana ambapo bingwa aliibuka kuwa ni wydad

Kivipi?
Kabla mashindano hayajaanza ya champions league, uwanja wa mohamed V ndio uliyeuliwa kuhost fainali

Kwa bahati nzuri, wydad akaingia fainal dhidi ya al ahly; kasheshe ilianza pale ambapo al ahly waliweka hoja kuwa wydad atakuwa na hom advantage wkt sheria inasema uwanja uwe neutral (kumbuka uwanja uliteuliwa hata kabla ya mashindano kuanza?

Ikawaje
Siku ya fainal kulikuwa na vurugu nyingi kiasi kwamba hata ilipotokea al ahly wamepigwa goli, hoja yao ikawa ni wydad kapendelewa na CAF

SOLUTION YAKE?
Fainali ichezwe mara mbili kama ilivyokuwa nyuma ili kila mmoja awe na hiyo hom advantage kuepusha malalamiko

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Hili swala limekaa kiuchumi zaidi, waafrika wengi bado hawana neema ya kusafiri kwenda neutral grounds tofauti na ulaya, hivyo mapato hupotea sana.

Piga mahesabu Fainali ya CAFCC ingechezewa Misri, ni wangapi Tz wangeenda kuujaza uwanja?
South America huwa wanafanyaje?
 
Mgogoro ulitokea mwaka jana ambapo bingwa aliibuka kuwa ni wydad

Kivipi?
Kabla mashindano hayajaanza ya champions league, uwanja wa mohamed V ndio uliyeuliwa kuhost fainali

Kwa bahati nzuri, wydad akaingia fainal dhidi ya al ahly; kasheshe ilianza pale ambapo al ahly waliweka hoja kuwa wydad atakuwa na hom advantage wkt sheria inasema uwanja uwe neutral (kumbuka uwanja uliteuliwa hata kabla ya mashindano kuanza?

Ikawaje
Siku ya fainal kulikuwa na vurugu nyingi kiasi kwamba hata ilipotokea al ahly wamepigwa goli, hoja yao ikawa ni wydad kapendelewa na CAF

SOLUTION YAKE?
Fainali ichezwe mara mbili kama ilivyokuwa nyuma ili kila mmoja awe na hiyo hom advantage kuepusha malalamiko

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Asante nimeelewa kiundani
 
enhee majibu?
Ni kwamba hivi Mei 15 mwaka jana Al Ahly alikata rufaa CAS dhidi ya maamuzi ya CAF kwa kitendo chake cha kuchagua Morroco kama host wa final

Kutokana na kwenye fainali ya mwaka jana kulitokea sintofahamu moja.

Ni kwamba wakati wa hatua ya makundi tayari ilikwisha tangazwa uwanja gani utaotumika kwa ajili ya fainali.

Lakini mwisho wa siku Wydad na Al Ahly walipofika fainali CAF wakatoa tangazo kuwa mchezo utachezwa Morroco

Ambapo hiyo ilionekana kama hujuma kwasababu host alikuwa ni Morroco ambaye kimsingi hakupaswa kuwa host kwasababu hayupo neutral kutokana na Wydad pale ni kwao.

Kwa hiyo hoja zilizowasilishwa zilikuwa hivi

1. Hoja ya kwanza ilikuwa inazungumzia upendeleo

Ambapo ilionesha wazi kuwa linapokuja swala la kuchagua wapi fainali ichezwe kumekuwa na upendeleo wa kuchagua nchi za North Africa hususani Morroco.

CAF wamekuwa wakitoa special treatment kwa nchi za North Africa na ndio sababu utaona waarabu hata wafanye kosa ni ngumu kuona wakiadhibiwa.

Angalia rekodi za fainali karibia zote zimechezwa Ukanda wa Africa Kaskazini.

Moja ya malalamiko yaliyowasilishwa na Al Ahly ilikuwa ni hiyo, wao walisema Senegal West Africa ina kiwanja kizuri chenye kujaza mashabiki zaidi ya 50,000 ipo neutral kwanini fainali isichezwe huko?

2. Mahudhurio hafifu kwa mashabiki kutokana na uwezo mdogo wa kumudu gharama za usafiri.

Kwasababu mechi ya fainali inatakiwa ichezwe kwenye nchi ambayo ipo neutral kati ya hizo timu. Na hii inasababisha mchezo kupoa kwasababu hakuna mashabiki uwanjani wenye mapenzi na timu zao hivyo kwa namna moja ni kama unakuwa umewakatiri.

Kwa hiyo hizi changes zinawezekana zimechangiwa na hiyo kesi ya Al Ahly kule CAS.
 
Nchi masikini huwezi kuchezesha fainal neutral ground, itakuwa ni biashara kichaa.

Ya africa ndio yaleyale ya South America.
Kwa mujibu wa utetezi wa CAF kwenye ile kesi wao walidai katika wanachama wake 54 ni nchi mbili tu ambazo zilikuwa zimetimiza vigezo vya kuwa host.

Nchi hizo ni Morroco na Senegal

Hata hivyo CAF walisema Egypt hawakuwasilisha ofa yeyote kuwania nafasi hiyo

Sasa nikijaribu kufikiri hapo kwa upande wetu ina maana wakina Karia walishindwa kweli kutuma maombi?

Au waliyuma halafu hayakukidhi vigezo?

Swli linalokuja hapo ni mbona saizi tunaomba host ya mashindano makubwa zaidi au kwakua tupo team?
 
Kwa mujibu wa utetezi wa CAF kwenye ile kesi wao walidai katika wanachama wake 54 ni nchi mbili tu ambazo zilikuwa zimetimiza vigezo vya kuwa host.

Nchi hizo ni Morroco na Senegal

Hata hivyo CAF walisema Egypt hawakuwasilisha ofa yeyote kuwania nafasi hiyo

Sasa nikijaribu kufikiri hapo kwa upande wetu ina maana wakina Karia walishindwa kweli kutuma maombi?

Au waliyuma halafu hayakukidhi vigezo?

Swli linalokuja hapo ni mbona saizi tunaomba host ya mashindano makubwa zaidi au kwakua tupo team?
Hatuna kiwanja cha kuridhisha team zitakazocheza fainali, kila mmoja ni lazima atatoka na kisngizio cha uwanja.

Nchi inayoweza kufanya hivyo labda ni SOUTH AFRICA.
 
Back
Top Bottom