FT | CAFCL Final: Al Ahly SC 2-1 Wydad AC | First leg 04/06/2023

FT | CAFCL Final: Al Ahly SC 2-1 Wydad AC | First leg 04/06/2023

Hivi hawa ndo walicheza na Simba eee tukawatoa jasho kwetu na kwao mpka matuta eeee...
Wote wanaocheza hapa washawahi kupigwa kwa nyakati tofauti tofauti na Simba
 
68'

Goooooooooooal

Wydad wanaandika bao la pili baada ya uzembe wa kipa kutoka kwenda kukaba mpira na kuliacha lango.

Kipa kapigwa chenga ikapigwa pasi ikamkuta muuaji kafumua shuti kali na kuandika bao la pili.

Huu uzembe huwezi kuuona anafanya Diarra
Mzeee unachanganyikiwa Sasa
Wydad kapata goal la pili 🤣🤣🤣
Mtakufa na stress mwaka huu
 
90+4

Kadi ya njano inaenda kwa mchezaji wa Al Ahly

Mchezaji mmija wa Wydad yupo chini
 
Mechi za WAKUBWA hizi.

Sio kule kwa LOSERS.
TIMU zote mbili zimecheza na Simba kwa Miaka hii mi 3.

TIMU Moja Imepata kocha kutoka Simba.
TIMU Moja ULIPATA mchezaji kutoka Simba.

MCHEZO MWEMA WAKUBWA.
Na zote zimeonja kichapo kwa Simba
 
90+6

Al Ahly wanapata freekick ni mita chache mpaka lilipo penati box

Freekick inapigwa mchezaji wa Wydad anakuwa wakwanza kuepusha hatari kwa kupiga kichwa na kuutoa nje mpira na kuwa kona
 
Lingeibeba Yanga usingesema hili
Usikurupuke, mi sio Yanga wala sio Simba. Huwa sioni tu kwanini mmoja apite Ilhali aggregate ni sawa. UEFA walibadili hii Sheria. Game haiwezi kuwa the same, yaani kwa kuwa tulitoka moja moja kwangu kwako tutoke bilabila Mimi niwe nimepoteza. Why? Kuna factors mbalimbali zinazoaffect Hali ya mchezo hadi kuona variation
 
Huna akili hawa al ahly kwenye hizo hatua zenu za robo kuja chini anakuaga wakawaida tu msimu huu yenyewe nusura ashike mkia kwenye kundi alikula 5 na maswandana
Achana na mbumbumbuu atakuumiza kichwa
Wao kila hoja inayoletwa jibu lao kua tushawahi kumfunga
Sasa sijui Kuna timu ambayo haijawahi kufungwa
 
Naam mbungi imeisha ila Al ahly ajichunge sana kule Moroco,kuruhusu goli kwake kumeshabadili taswira nzima ya wao kupewa big chance ya kubeba ndoo.
 
Ukisharusu tu goli kwako na hii Africa yetu

Ujue umeingia matatizoni Ahly tayari wamerusu hii inafanya fainali kuwa mbichi bado
 
Kulikuwa na mgogoro mmoja ulitokea ulivuruga sana mechi kwenye moja ya fainali za CAF ndio hapo wakaamua wakae waangalie namna ya kutatua changamoto ni kuweka fainali mbili.

Kumbuka 2004-2019 fainali zilikuwa zinachezwa mara mbili. Ilipofika 2020 sheria ikafutwa kukawa na single leg iliyochezwa kwa misimu takribani mitatu.

Saizi imerudishwa upya kufuatia maoni ya wakurugenzi wenyewe wa CAF baada ya matukio kadhaa ya fainali kuonesha umuhimu wa dual legs final.
Hili swala limekaa kiuchumi zaidi, waafrika wengi bado hawana neema ya kusafiri kwenda neutral grounds tofauti na ulaya, hivyo mapato hupotea sana.

Piga mahesabu Fainali ya CAFCC ingechezewa Misri, ni wangapi Tz wangeenda kuujaza uwanja?
 
Uzi umejaa mipasho jamani kuna watu bado wana maumivu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa huachi kuchombeza [emoji23]
 
Back
Top Bottom