Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Baada ya kushuhudia mechi ya USM ALGER dhidi ya Yanga sasa ni muda wa kuangalia mchezo mkubwa na wenye heshima zaidi.
Ni mechi kati ya mabingwa watetezi dhidi ya mabingwa wa muda wote kwenye hii michuano.
Mchezo ni saa 3 kamili usiku
Kumbuka ni fainali itayochezwa mara mbili.
Hizi hapa ni head to head
Aggregate kubwa iliyowahi kushuhudiwa miamba hii ikipambana
Hizi ni H2H za miaka ya hivi karibuni
**************************
Vikosi kwa timu zote mbili
Al Ahly Sc
Wydad Casablanca
Ni mechi kati ya mabingwa watetezi dhidi ya mabingwa wa muda wote kwenye hii michuano.
Mchezo ni saa 3 kamili usiku
Kumbuka ni fainali itayochezwa mara mbili.
Hizi hapa ni head to head
Aggregate kubwa iliyowahi kushuhudiwa miamba hii ikipambana
Hizi ni H2H za miaka ya hivi karibuni
**************************
Vikosi kwa timu zote mbili
Al Ahly Sc
Wydad Casablanca