Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Al Ahyl atavhezea nje ndani[emoji28][emoji28][emoji28] al ahly vs Mamelodi Sundowns
Ni bora ukose match ya man City vs inter kuliko hii game
AahaaaaaaDah mamelody kakojolea upele...
Una akili Sana Bora unyimwe utelezi na bikra kuliko kukosa hiyo game [emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] al ahly vs Mamelodi Sundowns
Ni bora ukose match ya man City vs inter kuliko hii game
Roho ya kwanini hiyoKwa huu mpira huu bora tulitoka tukapelekwa Shirikisho
[emoji81][emoji81]Una akili Sana Bora unyimwe utelezi na bikra kuliko kukosa hiyo game [emoji23]
Mkuu naona kama wazulu wanashambuliwa au mida yao BADO😂😂🙌Ilikuwa hatari sana yani hiyo rough waliyochezeana hawa wachezaji wa Wydad