Andika vizuri wewe, KOCHA aliyeibeba barca ndio kocha gani wewe?Hata nami mawazo yako kwangu ni upuuzi tu, mmiliki wa Mamelody Sundowns akiwa Bosi wa CAF ndiye ana warranty ya kutendewa haki kwa 100% ilihali hata Ulaya tunashuhudia mbeleko kila siku?
Au ulisahau yule Kocha aliyeibeba Barcelona kwa kuifunga PSG 6-1 hadi alishushwa kuchezesha Europa badala ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app