covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Yaani kama wanavifadulo..Timu zetu (Simba SC)wajengewe confidence kwenye away games,kina babu Onyango kutetemeka kumezidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kama wanavifadulo..Timu zetu (Simba SC)wajengewe confidence kwenye away games,kina babu Onyango kutetemeka kumezidi
Endelea kukaza fuvu nimechagua kukupuuza....Na haiwezi kuwa mbovu kwakua umesema wewe, huo muda ambao umeutunza kwa kuepeuka kubishana na mimi ni vyema ukautumua vizuri kuipumzisha akili.
Kula chumaKiko wapi[emoji23]
Hayo mambo ya sijui mwarabu anapendelewa ni upuuzi tu, simba na yanga mara kibao zimewafunga waarabu, halafu sasahivi boss wa caf ni msouth,Uliona rafu aliyochezewa Mayele juzi kati kule dhidi ya mchezaji wa Marumo Gallants hadi Kocha Nabi aliwalalamikia waamuzi wa mpira pale pale uwanjani?
VAR haikuhusika kabisa ila ilikuwa rafu sawa na za wachezaji wa Mamelody Sundowns waliopewa red cards kwenye mechi ya awali dhidi ya Wydad Casablanca, Waarabu nnje ya uwanja huwa wana fitina sana labda uamue tu kukaza fuvu lako.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
2020/ 2021 Bingwa Al ahlySahihi kabisa kasro tu msimu wa 2018/2019 pekee ambapo Tp Mazembe ilimto Simba na hawakufika fainali
2020/2021 Kaize chiefs klabu bingwa
2021/2022 Orlando pirates Shirikisho
2022/2023 Wydad klabu bingwa
Najua lkn mtt kipenz ni al ahly. Ndo mana pia kuna fainali mbil bdl ya moja sbb al ahly alilalamika mwaka jana.Raisi wa CAF ndio raisi wa Mamelod
Huwezi amini Al Ahly aliyeponea chupu chupu kutolewa makundi, eti ndo anakua Bingwa.
Football ina maajabu yake lol
Aaaaah wapiiii, useme kwenye match za knock out yuko vizuri.Al ahly hata mwaka jana aliponea chupu chupu kutolewa makundi. Ila bado akafika fainali.
Kwenye makundi huwa anapuuzia puuzia sana
Kwa members wa jf wenyw IQ ndogo sana wewe ndiye unaye ongozaKwa sababu ya faida la goli la ugenini.
Ingekuwa ni UEFA, tungeenda Penalties.
Kwa members wa jf wenywe IQ ndogo sana wewe ndiye unaye ongozaYanga wana midomo sana. Mwakani tupo wote CAFCC.
Yeye mwenyewe ndan ya miaka 10 kacheza final moja tuKocha WA Mamelodi Hana mbinu kabisa ..wamrudishe Pitso
Stage ambayo hujawah fika zaid ya miaka 80 sasaShangaa nawew Hawa ni zaidi ya mbumbumbu aisee.. Yaani timu inajivunia iliwahi kumfunga fulani wakati matokeo ya jumla waliondolewa mashindanoni.
Sishangai wapo stage Ile Ile zaidi ya miaka mitano sasa
Mwaka jana walioingia final n hawa hawa na bingwa kawa wydad na anaweza beba tenaRoho imeniuma sana Mamelody kutolewa yani fainali inaenda timu ambayo haitakuwa na ushindani kulingana na ukubwa wa mpinzani ambaye tayari alikwisha pita hatua ya nusu fainali
Africa kila kitu ni shida ndugu yangu 😆Hii michuano ya Africa ni magumashi tu yaan mambo yetu kivyetu vyetu kwann wasiige huko ulaya? Sasa hapo 2:2 na mechi iliyopita ilikuwa draw pia kwann wasiongeze dk tumpate mshindi wa kweli?
Haya njoo kwenye final eti home and away, sasa final gan inakuwa na mechi 2?
Ndio mana hata wakitolewa wanaona wametoka kishujaa coz hawaamini kama wanaweza kuvuka hatua hiyo. Ni mitetemo tu mwanzo mwisho 🤣🤣Timu zetu (Simba SC)wajengewe confidence kwenye away games,kina babu Onyango kutetemeka kumezidi
Kwa hiyo misimu yote hii simba hajawahi kupata suluhu ya kuvuka hiyo hatua!?Sahihi kabisa kasro tu msimu wa 2018/2019 pekee ambapo Tp Mazembe ilimto Simba na hawakufika fainali
2020/2021 Kaize chiefs klabu bingwa
2021/2022 Orlando pirates Shirikisho
2022/2023 Wydad klabu bingwa