FT: CAFCL: Mamelodi Sundowns 2-2 Wydad Casablanca | Live Updates | Mei 20, 2023

FT: CAFCL: Mamelodi Sundowns 2-2 Wydad Casablanca | Live Updates | Mei 20, 2023

That goes direct kwa timu yao ya Taifa Bafana Bafana, wana ligi nzuri, ngumu na yenye ushindani lakini timu zao hazifiki mbali mashindano ya ngazi ya club na timu ya taifa
Wasauzi waendelee tu kukaza upo wakati nyota itahamia upande wao, hakuna kukata tamaa kamwe.

Hata Spain ilikuwaga nzuri sana miaka ya 2000 lakini walikuwa wanatolewa mapema tu kwenye World Cup na EURO champions league, hatimaye kuanzia miaka ya 2012 ndipo nyota yao ikaanza kung'aa hadi hivi sasa wamo miongoni mwa timu bora duniani.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Watu walikuwa wanapiga kelele humu kuhusu MAMELOD, yani kisa Wydad alisumbuliwa na Simba Sc basi eti akawa ni mbovu[emoji23]. Watu wanashindwa kuelewa CAFCL ni heavy weoght competitions.

Mamelod nae ni mbovu sasa, tukubaliane hapa.

Hata huku CAFCC ni vyema watu wakafurahi wakati ambao nafasi bado wanayo, kwasababu ni HAKIKA kuwa kombe haliwezi kuja Tz.
 
Hii michuano ya Africa ni magumashi tu yaan mambo yetu kivyetu vyetu kwann wasiige huko ulaya? Sasa hapo 2:2 na mechi iliyopita ilikuwa draw pia kwann wasiongeze dk tumpate mshindi wa kweli?

Haya njoo kwenye final eti home and away, sasa final gan inakuwa na mechi 2?
 
Huo ni mtizamo hasi mzee, hizo cards walipewa na Wydad?! Walifanya makosa wakaadhibiwa na refa kwa rafu zao mbaya labda kama hakuangalia hiyo game. Acha watoke, kwakifupi hawa jamaa ni wajuaji sana sawa na timu ya Taifa ya Brazil. Wameshindwa kufunga goli kipindi cha kwanza, cha pili baada ya kupata goli la kwanza wakaanza show game likarudishwa, wakafunga la pili wakarudia ujinga ule ule wakajifunga. Sasa hapo kosa la mwarabu ni nini?! Acheni chuki binafsi hawa Masandawana wametolewa kwa ujinga wao
Watu wanapenda timu kuliko mchezo wenyewe ndio shida
Chuki zote hizo eti kisa Wydad kamtoa Simba ndio wakahamia Mamelodi wakiamini mbaya wao ataadhibiwa ,Sasa imekua kinyume
Ile mechi ya kwanza wale wachezaji wawili wa Mamelodi walistahili zile card nyekundu wala hazikua na utata
Yule Bravo Allende alimkanyaga mchezaji mwenzake kwenye ugoko makusudi kabisa
Ujinga wao umewagharimu
 
Hii michuano ya Africa ni magumashi tu yaan mambo yetu kivyetu vyetu kwann wasiige huko ulaya? Sasa hapo 2:2 na mechi iliyopita ilikuwa draw pia kwann wasiongeze dk tumpate mshindi wa kweli?

Haya njoo kwenye final eti home and away, sasa final gan inakuwa na mechi 2?
Wanasema financial ya kusafiri ya mashabiki ni shida.
 
Back
Top Bottom