Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Over confidence imewaua mamelodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, overconfidence na undercnfidence vyote vinaweza kukuadhibu wakati wowote kwenye mpira.Hiki ndio yanga wakizubaa kitawakuta overconfidence sio nzuri sana kwenye michezo.
Nadhani baada ya Michuano hii nao watafuta. UEFA wamefuta hapo majuzi tu.Hata UEFA walifuta, hawa CAF wajinga sijui wanasubiri kitu gani, wako slow kama robots!.
Hata mimi nasapoti ni upuuzi mkubwa ndio maana UEFA wamefuta watu wapambane kiumeGoli la ugenini ni ufala. CAF wafute huu upuuzi
Yanga ndo timu pekee toka kusini mwa jangwa la Sahara ambayo ipo Fainali ya CAF Kwa sasa ..Yanga wana midomo sana. Mwakani tupo wote CAFCC.
Hakufukuzwa, Aliondoka mwenyewe baada ya kupata maslahi mazuri huko Morocco. Uongozi ulimwomba sana abaki lakini ikashindikana.Tukumbushane... kwa nini Simba walimfukuza van der Broek? Tactician mzuri sana.
Wanaowaiga tayari wameshafuta hiyo sheria, asa sijui CAF wanashindwa nini na wao kufuta hiyo sheria.Goli la ugenini ni ufala. CAF wafute huu upuuzi
mechi ya kwanza kwao Wydad Mamelody awakupa goli walitoka 0-0,wakati huo mechi hii ya leo wametoka 2-2 Wydad kaweza kupata goli kwa Mamelody hivyo Wydad wamepata faida ya kufunga goli au magoli ugenini.Kwa nini sio penalt?
Umenena ukweli mchungu kabisa ChifuZile red card mbili za ugenini zimewa cost Mamelodi, waarabu wahuni tu.
kuna niniHawa ZBC vipi tena?
Huo ni mtizamo hasi mzee, hizo cards walipewa na Wydad?! Walifanya makosa wakaadhibiwa na refa kwa rafu zao mbaya labda kama hakuangalia hiyo game. Acha watoke, kwakifupi hawa jamaa ni wajuaji sana sawa na timu ya Taifa ya Brazil. Wameshindwa kufunga goli kipindi cha kwanza, cha pili baada ya kupata goli la kwanza wakaanza show game likarudishwa, wakafunga la pili wakarudia ujinga ule ule wakajifunga. Sasa hapo kosa la mwarabu ni nini?! Acheni chuki binafsi hawa Masandawana wametolewa kwa ujinga waoKabisa, sema watu wengi hili hawalioni.
Hata mimi kwani nilishaipigia mahesabu kukutana na Yanga Super Cup .Roho imeniuma sana Mamelody kutolewa yani fainali inaenda timu ambayo haitakuwa na ushindani kulingana na ukubwa wa mpinzani ambaye tayari alikwisha pita hatua ya nusu fainali
Kwani October mbali? Tutaona kiherehere chenu.Yanga ndo timu pekee toka kusini mwa jangwa la Sahara ambayo ipo Fainali ya CAF Kwa sasa ..
Iheshimu tafadhali [emoji2957]