Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazani Kuna ligi ya NBC ambayo Nabi amebeba back to back mbele ya timu yako unayojivunia nayo, sijui ulitaka kusemajeKwenye hii ligi nabi alicheza mechi mbili akatolewa. Hii ni ligi ya mabigwa
Mamelodi wazembeni ubora wa kocha Svensen au Masandawana wamekua wazembe?
Wewe upo kwa hao wakubwa? Afu km timu yako haina kombe lolote usini quoteWewe huku kwa wwkubwa si ulikimbizwa kama mwizi
Na ni mafundi kweliWajinga wanapoteza muda hawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957][emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061]Hii imeenda
Hovyo kabisaaaGoli la ugenini ni ufala. CAF wafute huu upuuzi
Nimefanya vizuri kutoenda kuangalia mechi kwenye vibanda umiza.Kwaheri ya kuonana Mamelodi..mmezidi ubishoo mabwege nyie
Kwa sababu ya faida la goli la ugenini.Kwa nini sio penalt?
Una akili Sana hawa wydad wamevamia mtumbwi wa Vibwengo ..... [emoji38][emoji38][emoji38]Daaah hii mechi akitolewa Mamelody basi moja kwa moja kombe anachukua Al Ahly