Simba haikumfukuza Van Der Broek walizidiwa dau na FAR Rabat.Tukumbushane... kwa nini Simba walimfukuza van der Broek? Tactician mzuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba haikumfukuza Van Der Broek walizidiwa dau na FAR Rabat.Tukumbushane... kwa nini Simba walimfukuza van der Broek? Tactician mzuri sana.
Yanga haijiamin hvyo kama unavyodhanHiki ndio yanga wakizubaa kitawakuta overconfidence sio nzuri sana kwenye michezo.
kwaiyo wangetoka 0-0 ingakua penaltmechi ya kwanza kwao Wydad Mamelody awakupa goli walitoka 0-0,wakati huo mechi hii ya leo wametoka 2-2 Wydad kaweza kupata goli kwa Mamelody hivyo Wydad wamepata faida ya kufunga goli au magoli ugenini.
Lakini msimu uliopita ndo huyo huyo alimpasuaRoho imeniuma sana Mamelody kutolewa yani fainali inaenda timu ambayo haitakuwa na ushindani kulingana na ukubwa wa mpinzani ambaye tayari alikwisha pita hatua ya nusu fainali
Timu zetu (Simba SC)wajengewe confidence kwenye away games,kina babu Onyango kutetemeka kumezidiRoho imeniuma sana Mamelody kutolewa yani fainali inaenda timu ambayo haitakuwa na ushindani kulingana na ukubwa wa mpinzani ambaye tayari alikwisha pita hatua ya nusu fainali
Wamekata matangazo live nilitaka nione mpaka mwisho jinsi Mamelody wanavyoliakuna nini
Kabisa, Mamelod walivyotoka sare kule Morocco wakiwa na pungufu ya wachezaji wawili, wakajiona wapo fainali tayari. Wakawadharau WydadHiki ndio yanga wakizubaa kitawakuta overconfidence sio nzuri sana kwenye michezo.
Uliona rafu aliyochezewa Mayele juzi kati kule dhidi ya mchezaji wa Marumo Gallants hadi Kocha Nabi aliwalalamikia waamuzi wa mpira pale pale uwanjani?Huo ni mtizamo hasi mzee, hizo cards walipewa na Wydad?! Walifanya makosa wakaadhibiwa na refa kwa rafu zao mbaya labda kama hakuangalia hiyo game. Acha watoke, kwakifupi hawa jamaa ni wajuaji sana sawa na timu ya Taifa ya Brazil. Wameshindwa kufunga goli kipindi cha kwanza, cha pili baada ya kupata goli la kwanza wakaanza show game likarudishwa, wakafunga la pili wakarudia ujinga ule ule wakajifunga. Sasa hapo kosa la mwarabu ni nini?! Acheni chuki binafsi hawa Masandawana wametolewa kwa ujinga wao
nakazia.Over confidence imewaua mamelodi
Raisi wa CAF ndio raisi wa MamelodCaf watafuta hilo goli labda had itokee al ahly atolewe kwa goli la ugenini. Mana wao ndo wtt kipenzi cha caf
Simba kuwa na makocha wazuri ni kawaida tuTukumbushane... kwa nini Simba walimfukuza van der Broek? Tactician mzuri sana.
Jamaa huwa hasikilizi hata press release kabla ya mechi jinsi Kocha Nabi anavyoongeaga kwa tahadhari juu ya Yanga FCYanga haijiamin hvyo kama unavyodhan
Hili halina shakaSimba bonge la timu aisee nimeamin
That goes direct kwa timu yao ya Taifa Bafana Bafana, wana ligi nzuri, ngumu na yenye ushindani lakini timu zao hazifiki mbali mashindano ya ngazi ya club na timu ya taifaSouth Africa wana bahati mbayaaa