FT: CAFCL: Mamelodi Sundowns 2-2 Wydad Casablanca | Live Updates | Mei 20, 2023

FT: CAFCL: Mamelodi Sundowns 2-2 Wydad Casablanca | Live Updates | Mei 20, 2023

Huo ni mtizamo hasi mzee, hizo cards walipewa na Wydad?! Walifanya makosa wakaadhibiwa na refa kwa rafu zao mbaya labda kama hakuangalia hiyo game. Acha watoke, kwakifupi hawa jamaa ni wajuaji sana sawa na timu ya Taifa ya Brazil. Wameshindwa kufunga goli kipindi cha kwanza, cha pili baada ya kupata goli la kwanza wakaanza show game likarudishwa, wakafunga la pili wakarudia ujinga ule ule wakajifunga. Sasa hapo kosa la mwarabu ni nini?! Acheni chuki binafsi hawa Masandawana wametolewa kwa ujinga wao
Umenena vema. Hao Mamelodi ni viazi mbatata. Hawana maajabu. Kwa hela zinazowekezwa ligi ya Sauzi ingekua ndiyo hapa nyumbani nakuambia timu zetu zingefika mbali. Wasauzi wanajua kuchezesha ile miguu yao kwenye muziki.
 
Huo ni mtizamo hasi mzee, hizo cards walipewa na Wydad?! Walifanya makosa wakaadhibiwa na refa kwa rafu zao mbaya labda kama hakuangalia hiyo game. Acha watoke, kwakifupi hawa jamaa ni wajuaji sana sawa na timu ya Taifa ya Brazil. Wameshindwa kufunga goli kipindi cha kwanza, cha pili baada ya kupata goli la kwanza wakaanza show game likarudishwa, wakafunga la pili wakarudia ujinga ule ule wakajifunga. Sasa hapo kosa la mwarabu ni nini?! Acheni chuki binafsi hawa Masandawana wametolewa kwa ujinga wao
Yaani wana akili ya ovyo sana, walikuwa wana kila sababu ya kufuzu hii hatua ila upumbavu wao wenyewe.
 
Huo ni mtizamo hasi mzee, hizo cards walipewa na Wydad?! Walifanya makosa wakaadhibiwa na refa kwa rafu zao mbaya labda kama hakuangalia hiyo game. Acha watoke, kwakifupi hawa jamaa ni wajuaji sana sawa na timu ya Taifa ya Brazil. Wameshindwa kufunga goli kipindi cha kwanza, cha pili baada ya kupata goli la kwanza wakaanza show game likarudishwa, wakafunga la pili wakarudia ujinga ule ule wakajifunga. Sasa hapo kosa la mwarabu ni nini?! Acheni chuki binafsi hawa Masandawana wametolewa kwa ujinga wao
Hakuna ujinga waliofanya hii ni football sometimes inakuaga na matokeo ya ajabu
 
Sundowns katoa sare hii game kizembe sana,kwa mtindo huu hawa waarabu sijui wanatuonaje.Wydad mbovu kabisa hii wanamuondosha Sundowns.. 🤔
Kama ni wabovu wameiondoshaje Mamelodi na kumbuka Wydad ni bingwa mara tatu wakati hao Mamelodi ni bingwa mara moja tu.

Watu wamekariri tu kwamba Wydad ni wabovu wakati ndio bingwa mtetezi na wanarudi tena kuchuana na Al Ahli katika fainali kama mwaka uliopita na usishangae wakahifadhi tena kombe.
 
Kama Wydad inajua mpira basi Africa tuna ligi mbovu sana. Hao Wydad siwaoni kama wanajua kivile, yani ni mtihani wa vilaza ambao lazima awepo wa kwanza. Bado tuna safari ndefu kwenye soka sisi na bara letu.

Africa ina ligi mbaya ikilinganishwa na wapi?
 
Back
Top Bottom