Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Mpira una mambo mengi sana, psycolgy pekee tu unaweza ikukuadhi ukashangaaHawa Mamelod mechi ya kwanza walikuwa pungufu waliwezaje kuwamudu wydad nyumbani kwao.!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira una mambo mengi sana, psycolgy pekee tu unaweza ikukuadhi ukashangaaHawa Mamelod mechi ya kwanza walikuwa pungufu waliwezaje kuwamudu wydad nyumbani kwao.!!?
Anatumika kama daraja la kusongea mbeleKwa hiyo misimu yote hii simba hajawahi kupata suluhu ya kuvuka hiyo hatua!?
Ukiongeza na Ile ya mazembe!?Kuna shida
Watu walikuwa wanapiga kelele humu kuhusu MAMELOD, yani kisa Wydad alisumbuliwa na Simba Sc basi eti akawa ni mbovu[emoji23]. Watu wanashindwa kuelewa CAFCL ni heavy weoght competitions.
Mamelod nae ni mbovu sasa, tukubaliane hapa.
Hata huku CAFCC ni vyema watu wakafurahi wakati ambao nafasi bado wanayo, kwasababu ni HAKIKA kuwa kombe haliwezi kuja Tz.
Kosa la mwalimu ni lipi beki kajifunga mwenyewe? tunawabebeshaga makocha lawama za bureHawa Wadady hawana ubora wowote ni wakawaida sana, ila Mamelody wamezingua walichukuliwa poa / walikariri mbaya zaidi kocha wao akakosa mbinu
Hata nami mawazo yako kwangu ni upuuzi tu, mmiliki wa Mamelody Sundowns akiwa Bosi wa CAF ndiye ana warranty ya kutendewa haki kwa 100% ilihali hata Ulaya tunashuhudia mbeleko kila siku?Hayo mambo ya sijui mwarabu anapendelewa ni upuuzi tu, simba na yanga mara kibao zimewafunga waarabu, halafu sasahivi boss wa caf ni msouth,
Hayo ni maroboti ya kucheza mikeka ilihali yanaelewa vizuri sana kuwa mpira huwa hautabiriki kimatokeo.Hakuna ujinga waliofanya hii ni football sometimes inakuaga na matokeo ya ajabu
Yaani wanapoteza hata ladha ya mchezo.Africa kila kitu ni shida ndugu yangu [emoji38]
Final 2 mfululizo, bingwa mtetez.. hana ubora?? Unavuta bangi ya wapiHawa Wadady hawana ubora wowote ni wakawaida sana, ila Mamelody wamezingua walichukuliwa poa / walikariri mbaya zaidi kocha wao akakosa mbinu
Wydad wote wapo nyuma 🤭
[emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787]watanzania wanajua ubora wa timu ni ule unaofunga magoal matano au kupiga pasi 1000 kama Barcelona, wydad ananikumbusha Madrid aliyechukua uefa 3 mfululizoFinal 2 mfululizo, bingwa mtetez.. hana ubora?? Unavuta bangi ya wapi
Historia yao
2016 – Semi-finals
2017 – Champion
2018 – Quarter final
2018–19 – Runner-up
2019–20 – Semi-finals
2020–21 – Semi-finals
2021–22 – Champion
Kawaida n ipi?? Yan timu ikicheza na timu za bongo lazima itafutiwe jina baya tu punguzen dharau
Historia ya memelod
2016 Champion
2017 Quarterfinals
2018 Group Stage
2018–19 Semi final
2019–20 Quarterfinals
2020–21 Quarterfinals
2021–22 Quarterfinals
Msimu huu Semi-finals
Kila LA kheri mamelody
Ukweli mchungu mamelodi anaweza kutolewa game hii.
Mnisamehe mimi nashabikia Sundowns
Masandawanaaa waende final.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Hawa wydad wali bebaje msimu ulio pita
Mamelody 2- Waydad
Wana laana kama ya Wabrazil
Mwadela mayo mwanikiHuwa nashangaa mamelody wakifikaga kuanzia Robo huwa hawana bahati hata.
Tuliona walivyocheza kwa Mkapa"Wydad mbovu kabisa" kwa kipimo kipi?
Wydad ni bora kuliko mamelod.Final 2 mfululizo, bingwa mtetez.. hana ubora?? Unavuta bangi ya wapi
Historia yao
2016 – Semi-finals
2017 – Champion
2018 – Quarter final
2018–19 – Runner-up
2019–20 – Semi-finals
2020–21 – Semi-finals
2021–22 – Champion
Kawaida n ipi?? Yan timu ikicheza na timu za bongo lazima itafutiwe jina baya tu punguzen dharau
Historia ya memelod
2016 Champion
2017 Quarterfinals
2018 Group Stage
2018–19 Semi final
2019–20 Quarterfinals
2020–21 Quarterfinals
2021–22 Quarterfinals
Msimu huu Semi-finals