Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Na miye namuunga mkono bwana Mr DevilUna akili Sana Bora unyimwe utelezi na bikra kuliko kukosa hiyo game [emoji23]
Kakaoswa koswa hapaMamelodi ajipange vzr hawa waydad wanakuja kwa kasi sana..
Daah roho inaniuma nipo nataka nireply na goli linarudishwa😂😂Wameanza saizi baada ya kufungwa
Mamelodi wajipangeWydad goooooaaal
Kapigwa Apache kupakiNadhani sasa ni muda wa Mamelody kupaki basi
WasipakiNadhani sasa ni muda wa Mamelody kupaki basi
Sure... wydad wameamka...Mamelodi wajipange