Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Mtani.Dah Hali ni tete
Simba watashinda.Maanaake ni kwamba wafungane 2-2 ndo matuta. Kwa hiyo unavyoangalia yanaweza kujitokeza matokeo hayo?
Sio mbaya wazee wakigonganaBoko na Chama wamegongana vibaya
Maana yangu ni kwamba, tayari nimeshawaongeza goli la pili hawa Power Dynamos.Maanaake ni kwamba wafungane 2-2 ndo matuta. Kwa hiyo unavyoangalia yanaweza kujitokeza matokeo hayo?
Ndicho kinacho fuatia hapa.Sasa ni kushambulia tu. Kocha ameamua kuchomoa betri. Sema akipigwa counter attack, ndiyo basi tena.
Kushinda vipi mkuu dakika ya 68 sahz hakuna hata harufu au assist zilizogonga besera huu upuuzi huyu kocha aondokePresha yako iko sawa mkuu?
Relax. Makolo mnashinda hii mechi
😂😂Soda sinywi naogopa sukariAgiza soda Apo nalipa
Kikwete, Sunday Manara + Shimba ya Buyenze ndio Yanga pekee wenye akiliNatania tu...
Japo Makolo siwapendi ila naomba watoboe. Uzalendo kwanza!
Mungu yuko bize na wagonjwa mahospitalini hawezi kuja kuhangaika na mpira ww 😁😁😁Mungu saidia tusawazishe maana
Na tukisawazisha hizi dakika bado game ndio itawaka sasa, maana wataanza kutafuta goli jingine huku sisi hatuna wakabaji.Mungu saidia tusawazishe maana