Wanaume wameshasawazisha huko ila mod wamekauka tuMkuu....
Japo kuna raha ya kipekee huwa naipata Makolo wakifungwa ila leo naomba washinde ili sote tusonge mbele tukaliwakilishe taifa letu.
Hata komredi mzalendo Mwashambwa nadhani atakubaliana na mimi
Wamejifunga
Amin Mkuu tutashinda leo na kwenda makundi ni lazima [emoji881]Bado sina imani, tunahitaji magoli zaidi.
AahaaaaMods ndo mmeweka matokeo
Boko gooooooooooBoko inabidi Leo ashinde goli
Mods ni 1-1Aahaaaa
Sasa naamini watawekaMods wekeni matokeo basi
Analeta kizungu cha kimarekani,umeamua kumtolea uvivu[emoji3][emoji3]Nyowko..
MUNGU ni WA kwetu soteKidogo roho inashuka ila bado ongezeni moja sasa tupate usingizi watu