Ok1-1 game imeisha, Simba wanaingia makundi
Simba Wana faida ya goli moja la ugeniniKwa Nini na kule kwao walidroo
hauwezi muelekeza mtu Kwa staha?Huna akili wewe kwani wametoka 2:2?? Au hujui Matokeo ya awali
Hahaaa, msomi wa dini unaamini sana kwenye dawaππππ€£π©πLeo sijui simba wana nini me nashindwa kueleza ila na wazambia wako vizuri kwenye DAWA
Unawadharau power dynamos?Leo sijui simba wana nini me nashindwa kueleza ila na wazambia wako vizuri kwenye DAWA
Na wao si watakua nalo leo auSimba Wana faida ya goli moja la ugenini
Hapana ankoli π€£, Haya ni mambo ya Ki fitness, intiligent, coordinationLeo sijui simba wana nini me nashindwa kueleza ila na wazambia wako vizuri kwenye DAWA
Uwe unafatilia mpiraKwa Nini na kule kwao walidroo
Theology inasemaje katika hili?πππππππππππππππππDah nimecheka Usije ukazibana mpkaa ukazipasua
Hakuna cha matuta hapo Simba watapita kwa advantage ya goli mbili za ugenini.Wakitoka 1-1 wanapiga matuta ama?