Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Daaah saa hizi tunabana mbupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KweliHata goli la kwanza ni matokeo ya uzembe wa mabeki, hata kama hawamtaki huyo kipa hawatakiwi kufanya huo ujinga wao kwenye mechi ya muhimu kama hii.
utakuwa QB hapoNasikia makelele sana mitaa ya Mbezi CRDB hapa toka banda umiza...
Mungu ndiyo Kila kitu kwa sisi believersSimba inaenda kwa nguvu ya Mungu hali mbaya mpira hakuna.
Penalty ya wapi matokeo yakibaki hivi simba anafuzuGame unakwenda penat hii ,Simba wabadilishe kipa mapema
Ngumu simba kwa mpira huu wala tusijipe matumaini Al ahly hatuwawezi hata robo kama tupo serious kuna kazi ya kufanya ya ziada kikosi hakisomaniHawa Makolo ndio wanatuambia watamtoa Al Ahly kwenye super League? Hamko serious
Simba anaenda mbele, droo nyingine yoyote tofauti na hii ya sasa (1-1), itakuwa ni disadvantage kwa Simba Sc.
2-2 (Matuta)
3-3 na kuendelea (Simba anatoka).
1-1 game imeisha, Simba wanaingia makundiExtra time afu ndo matuta
Dah nimecheka Usije ukazibana mpkaa ukazipasuaDaaah saa hizi tunabana mbupuView attachment 2768657
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe mods ni simba.....nawaombea baya liwakute hapo azam[emoji16]
Kwa akili yako unazani ushamaliza mechi? Mechi ipo wazi sana hii, kwani goli moja tu inabadilisha kila kitu.......Power Dynamo saa hizi wanahitaji msaada wenu...Uto mko wapi
Kwa Nini na kule kwao walidrooPenalty ya wapi matokeo yakibaki hivi simba anafuzu
Ni Kweli mzeeNgumu simba kwa mpira huu wala tusijipe matumaini Al ahly hatuwawezi hata robo kama tupo serious kuna kazi ya kufanya ya ziada kikosi hakisomani
Leo sijui simba wana nini me nashindwa kueleza ila na wazambia wako vizuri kwenye DAWANgumu simba kwa mpira huu wala tusijipe matumaini Al ahly hatuwawezi hata robo kama tupo serious kuna kazi ya kufanya ya ziada kikosi hakisomani