Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watfurah baada ya dakka 90.Sema Mpira furaha kupokezana mpaka Mpira uishe, kuna mashabiki Saa hizi tunacheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Simba watafurahi baadae Acha sasa tuburudike.
Kila la kheri SIMBA , nilisema nawaombea ila mkifungwa kuchekwa kupo palepale
Amezingua pale.Chama tena fundi wa Lusaka triple CView attachment 2768557
Kabisa yaani Mkuu Japo pia wana cha kujifunza hasa upande wa kauli zao. 🤣🤣🤣Sema Mpira furaha kupokezana mpaka Mpira uishe, kuna mashabiki Saa hizi tunacheka 🤣🤣🤣🤣🤣 ila Simba watafurahi baadae Acha sasa tuburudike.
Kila la kheri SIMBA , nilisema nawaombea ila mkifungwa kuchekwa kupo palepale
Huku siyo Ligi kuuu mkuuu,ingekuwa Ligi kuuu hapo tayari Karia keshapiga simu Kwa refa Ili awapatie penatiHata penalty mpate tu
Hahahaaa. Lol.Kumbe kuingia makundi ni vigumu hivi.
Wakishinda wengine unaona kama ni kawaida sana.
Yamekuwa hayo tenaHii simba hata timu ya ndondo ina afadhali Robatinyo out
AahaaaaaaHahahaaa. Lol.
Abadilishe ubao pale juu
Alipaswa afanyeje hapo Mpira umepita mabeki wanne hawakabi? Angalia hata mipira inayopigwa yote wanapokea power dynamosKipa wetu anatakiwa kuongeza umakini kidogo
Aahaaaaa,ukuta chaliiiiiiiiBADO AMJASEMA YANI MPAKA MTEME BUNGO
View attachment 2768565
Na wao wa mioyo Mkuu. 😅😅