joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Goli la pili naliona........... wazee wa direct football kazeni........ shauri yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu yao
Pole sanaDah naumia roho
Hawaamini macho yao huko goba kwa maxience melo. Wako chakali
Leo sasa zamu yap saaaaaasaTimu yao
Kuimba kupokezana, zamu yao ikifika watafurahi piaWatfurah baada ya dakka 90.
Kwa sasa pole yao sana maana hawajawa na uhakika wa kufika alipo kaka yao
Aahaaaaawachambuzi walisema nyau kafanya usajili wa maana yanga kaokota okota
ndo usajili wa maana huu ama upumbavu
Kipa anatakiwa kuzuia madhaifu ya mabeki wake sasa wote wakiwa uchochoro si tunakula goli 5 hapaUnamlaumu bure kipa wakati Moira umepita katikati ya miguu ya mabeki zaidi ya wanna...yeey angefanyeje?
Naam naaam naamNa wao wa mioyo Mkuu. [emoji28][emoji28]
Nilisema Toma Mwanzo Baleke Aingie kama Sub Au Saido Asianze Phiri aanze
Kinachokufanya ucheke ni kuwa wewe ni shabiki wa vyura.Kabisa yaani Mkuu Japo pia wana cha kujifunza hasa upande wa kauli zao. 🤣🤣🤣
Na hizo ndo zinafanya tucheke hiki kinachoendelea saa hii. 🤣
Twende kazi, mtolewe mrudi kwenda kucheza na ihefu hukoGame On
Dak 20"
Simba SC 0 - 1 Power Dynamos
(2-3 on Aggregate)