Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua mkuuHuyo jamaa inawezekana mawazo yake hayako uwanjani.Yanakuja mpira ukimkaribia.
Ule mpira umepigwa mbali sana tena nje ya 18 kipa mzuri anaudaka ule.Mpira umepita nyuma ya Kennedy ghafla umempita. Si rahisi Sana.
NDIO, una wasiwasi? Muda badoHii ndo timu ya kuitafuta nusu fainali CAF? [emoji23][emoji3]
Nakusalimia my dear.Safi sana kipa la dunia
Wakae nae kama uongozi wamuulize shida niniHuyo jamaa inawezekana mawazo yake hayako uwanjani.Yanakuja mpira ukimkaribia.
AahaaaaaaaHii ndo timu ya African Super League [emoji23][emoji23]
Mungu yupi ? Yule wa kuwashiwa moto uwanjani na wa kinyume nyumeAibu gani hii! Mungu atusaidie tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mi mpenzi wa simba ila kiukweli bora hata dodoma jiji hapa hamna kitu.Hii ndo timu ya kuitafuta nusu fainali CAF? [emoji23][emoji3]
Hamna timu hata ya kuvuka Robo fainali hapa ... hata ikishinda ... timu ya kuleta ushindani huonekana kwa kila inapocheza.NDIO, una wasiwasi? Muda bado
Leo? Beleke si mlisema anakuna mapere na kutibu uparatu?. Nasemajeeeeee ichomoeni na hiyo tuichomoke nyingine na milendamilenda. LainiiiiiiBaleke sio mchezaji wa kumtegemea kwenye mechi kubwa maandazi kabisa
Orodhesha matukano yako yote usiache hata moya weye churaThiiiimbaa maviiiiiii hahhahha
Hili goli halirudi na likirudi nachoma kilinge na tunguli zake zote.Utabili, Simba 0 - 1 Power Dynamo.