Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Imekuwaje tena, si walisema Utopolo imewapa mbinu?Singida keshapigwa kimoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuwaje tena, si walisema Utopolo imewapa mbinu?Singida keshapigwa kimoja
Kati ya Simba na nani?Usijisahaulishe
Atakayevuka robo ndo kidume hapa Tanzania
Hapo kwa Onana tegemea kupokea matusi.Wachezaji wa kutema
1.Ayoub.
2. Kanute
3. Phili.
4. Onana.
5. Miquisson.
6. Aubin Kramo.
Kwa mpira huu..?IPO SIKU SIMBA NA YANGA WATACHEZA FAINALI CL
Muda huo akina Mamelodi wamesusia mashindanoIPO SIKU SIMBA NA YANGA WATACHEZA FAINALI CAFCL
Ili mkaaibike huko..😂Simba hatafuti makundi, makundi yanamtafuta Simba
Wacha mbuzi kutoka Uto utawaweza kwa fix?Imekuwaje tena, si walisema Utopolo imewapa mbinu?
Kwa mbinde.Simba hatafuti makundi, makundi yanamtafuta Simba
Tatizo la Simba Sc ni kocha, sio kikosi.Simba ni moja ya timu zenye wachezaji wazuri sana katika ukanda wetu wa Africa mashariki na kati, tatizo ninaloliona kwa simba japo mimi sina taaluma ya ukocha ila naona mbinu na falsasa za Robertinho zimekwama. Tunashuhudia timu ikicheza bila malengo, hakuna maelewano kwa wachezaji uwanjani na zaidi ya yote timu haina muunganiko kabsa. Ni vema viongozi wa simba wakachukua hatua za haraka kwanza kwa kumfuta kazi kocha Robertinho kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Mimi mtetezi namba moja wa Robertinho lakini hapa nakiri uwezo umeishia hapo. Timu irudi kwa Mgunda tupate kocha serious zaidi!
Binafsi nilitegemea changes kubwa mno leo lakini imekuwa worse. Its enough, uvumilivu unatosha.
Power DYNAMO ina skilled players kuliko hata huyo ONANA.....Wachezaji wa kutema
1.Ayoub.
2. Kanute
3. Phili.
4. Onana.
5. Miquisson.
6. Aubin Kramo.
Hapana.Kwani alizimika?
Hiyo ndo kabisa kisukari nje nje
Ukiona familia inaparaganyika tunamuuliza baba kwanza!Kwa uonavyo tatizo ni la kocha pekee?
Mpira kuna wakati uko kama bahati nasibu mkuu.Muda huo akina Mamelodi wamesusia mashindano
Kwahiyo Mgunda auliwe auKinachotokea ni uchawi wa Mgunda tu, anataka timu.
Robertinho ni kocha mzuri sana. Akitimuliwa mtajuta.
Ushazoea ila kutwa kucha unaishia palepale. Hajui hata lini mlishawahi vuka robo.Sisi Simba tushazoea kutinga kwenye hii hatua, ngoja tuwaelekeze hawa walioingia kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25, kule hakuna vibonde