FT: CAFCL | Yanga SC 6-0 Vital'O | (Agg: 10-0)Preliminary Stage 2nd Leg | Azam Complex | 24.08.2024

Hivi makipa wengine wa YANGA watacheza mechi zipi za CAF maana Hadi mechi ya kawaida kama hii ya Leo Diara ndio amepewa jukumu la kulinda lango.
 
Hivi makipa wengine wa YANGA watacheza mechi zipi za CAF maana Hadi mechi ya kawaida kama hii ya Leo Diara ndio amepewa jukumu la kulinda lango.
Siku zote kipa #1 lazima acheze kwenye mechi za ligi ya mabingwa kama ni mzima wa afya njema.
 
Daima Mbele Nyuma Mwiko πŸ’šπŸ’›πŸ’š

Gari limewakaa! Sasa hivi pale mbele weka Chama, Pacome, Aziz ki, Dube alafu sub ingiza Mzinze πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Kabla ya hii mechi wlitaka ajiuzulu, lakini wakamzuia
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mkuu ya kweli haya au unatania!?
 
As vita walipokukanda ta no walitoka nchi ya a man I eee
 
Chama mkali kwa mechi za Timu inayompa nafasi ya mdaa kuamua afanye Nini angalau sekunde 4; mechi ambayo inamotooo kama Ile ya Belozdad au Al Ahal chama ni O. #Yanga Wana kosiii ukweliπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ndani ntitii njee ntitiii....Haalaaaaah.
Daima Mbele Nyuma Mwiko πŸ’šπŸ’›πŸ’š

Gari limewakaa! Sasa hivi pale mbele weka Chama, Pacome, Aziz ki, Dube alafu sub ingiza Mzinze πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Makundii kutawaka motoo kwa mkapaaa,Maana pyramid Raja Orlando naooo wanapeleka motoooo hatariii Badoo wale miiamba inayosubili makundii kama Esperenx
 
Chama mkali kwa mechi za Timu inayompa nafasi ya mdaa kuamua afanye Nini angalau sekunde 4; mechi ambayo inamotooo kama Ile ya Belozdad au Al Ahal chama ni O. #Yanga Wana kosiii ukweliπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ndani ntitii njee ntitiii....Haalaaaaah.
chama ni back up tu. yanga wana alot of alternatives.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…