Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #381
Kashapigwa umeme mkuu nimeona hapa π π πHuyu wala hajui kutukana...naona ndio anaanza kujifunza kwa mama yake...ngoja kwanza tuangalie Mods atamfanya nini kabla hajafunzwa na sisi ulimwengu
Mods wamefanya kazi yao vizuri, KONGOLEKashapigwa umeme mkuu nimeona hapa π π π
Sana yaani sanaMods wamefanya kazi yao vizuri
Siku zote kipa #1 lazima acheze kwenye mechi za ligi ya mabingwa kama ni mzima wa afya njema.Hivi makipa wengine wa YANGA watacheza mechi zipi za CAF maana Hadi mechi ya kawaida kama hii ya Leo Diara ndio amepewa jukumu la kulinda lango.
πππππππππππππππππππππMkuu ya kweli haya au unatania!?Kabla ya hii mechi wlitaka ajiuzulu, lakini wakamzuia
Tutajie mbabeKibonde
As vita walipokukanda ta no walitoka nchi ya a man I eeeVital,O ni timu iliyotoka kwenye nchi iliyoadhirika na vita na mara kwa mara ile nchi haijatulia,hivyo wale wachezaji na uongozi wanamadhara ya kisaikologia kama msongo wa mawazo(stress),maumivu ya moyo,sonona,wasiwasi, n.k ndio maana hata hakuweza kwenda kucheza kwao kwasababu ya kuhofia usalama...
Yanga wanatumia hii advantage (faida)kuwaadhibu wenzao...na timu ambayo inatoka kwenye mazingira kama haya timu yeyote kutoka Tanzania(hata lipuli ya iringa) ingeweza kuibuka mshindi.
Pia kutoka na mazingira kama haya Vital'O wanakosa support ya Washabiki wao,hawana uzoefu na viwanja na hali ya hewa ya Tanzania lazina yanga ingeshinda tu.
Nb.Nasikia viongozi wa yanga huwa wanaenda kuhxnga CUF ili wapangie timu zinazokabiliwa na mazingira kama haya.Eng.Hersi pia anatumia ile nafasi yake ya uongozi kusukuma au kusaidi swala kama hili.
Daima Mbele Nyuma Mwiko πππ
Gari limewakaa! Sasa hivi pale mbele weka Chama, Pacome, Aziz ki, Dube alafu sub ingiza Mzinze π₯π₯π₯
chama ni back up tu. yanga wana alot of alternatives.Chama mkali kwa mechi za Timu inayompa nafasi ya mdaa kuamua afanye Nini angalau sekunde 4; mechi ambayo inamotooo kama Ile ya Belozdad au Al Ahal chama ni O. #Yanga Wana kosiii ukweliπ₯π₯π₯ndani ntitii njee ntitiii....Haalaaaaah.
Orlando na raja amna team pale, labda pyramidsMakundii kutawaka motoo kwa mkapaaa,Maana pyramid Raja Orlando naooo wanapeleka motoooo hatariii Badoo wale miiamba inayosubili makundii kama Esperenx