Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Mbona azam anaidhamini APR na anaimiliki azam fc bado mpira ulichezeka na mtu akapigwa akatoka. Tafuteni elimu kwanza mtoke kwenye vijiwe vya kahawa.Kawaida ,ila mpira wa kibongo una porojo nyingi uliona wap mdhamini mmoja anadhamini timu nane ndani ya ligi moja?upangaji matokeo ni mkubwa.
Sawa, ila kijiwe cha kahawa unanikosea mkuu .Mbona azam anaidhamini APR na anaimiliki azam fc bado mpira ulichezeka na mtu akapigwa akatoka. Tafuteni elimu kwanza mtoke kwenye vijiwe vya kahawa.
Yaani shem kwa hali hii nenepeana tu.Shem hii Yanga ni hatari.
Nimenenepa hadi basi yaani.π
Hivi hao vitaloo ni wachezaji kweli mtani Vincenzo Jrπππ Eti kweli ndugu yangu Kalpana
Mlijuaje ndo vitu zangu hizoo...mnataka cake ya kg ngapi au yenye kitambi kama cha msemaji wa vitaloo
Ahaaaaaa yani wale walikuja kutalii daslamu....keki tutawapikia mkiingia nusu fainali klabu bingwaDada mpika keki nani huyo Saint Anne au Kalpana
Sa si tumpe tenda atuletee keki, hii yanga ni ya kuilia keki wallah!!!!
View attachment 3078623
Sio mwenzetu huyo ππMbona huyo ni mwenzenu huko jangwani
Shukrani sana mtani π tukifika nusu keki inshallah tutapataAhaaaaaa yani wale walikuja kutalii daslamu....keki tutawapikia mkiingia nusu fainali klabu bingwa
Pole Mkuu.Sawa, ila kijiwe cha kahawa unanikosea mkuu .
Hakika shem.Yaani shem kwa hali hii nenepeana tu.
Sana tu shemela.Hakika shem.
I hope uko mzima shem.
Hilo halina ubishi...Shukrani sana mtani π tukifika nusu keki inshallah tutapata
Kahama lini?Sio mwenzetu huyo ππ
ππππKahama lini?
Hawa vitaulo inabidi tuwashenyete goli 20.
Kila la kheri chama langu Young africans sc πππ
#DaimaMbele π #NyumaMwiko π