Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Maaskini wamepigwa 5 kama MAKOLO
OKW BOBAN SUNZU
OKW BOBAN SUNZU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😁😁😁😁😁Maaskini wamepigwa 5 kama MAKOLO
OKW BOBAN SUNZU
Kacheza vizuri sana Leo,Hana uchoyo anatoa mapande tu Kwa wenzake ,magoli yafugweNaona zile kelele mbaya dhidi ya Chama zimekwisha ghafla. Chama ni mtu hatari sana.
Kazi ya Clatous Chota Chama leo ni kuangalia nani hajafunga ampe upendoNaona zile kelele mbaya dhidi ya Chama zimekwisha ghafla. Chama ni mtu hatari sana.
Mbona KOLOZ walisema kazeeka? Mara ooh kaishaChama aongezewe mshahara.......
Team imebebeshwa mzigo wa goli kumi.....semaji linaondoka na suti
Itakuwa Makolo nao walikuwa Mizoga, kwasababu wao walikuwa wote 11 uwanjani na wakapigwa 5 hawa wapo 9 uwanjaniHii timu ama maiti ..mnacheza na maiti
Huyu jamaa miamala yote itakuwa imepitia kwake.Kiponza kama kiponzaView attachment 3078337
Nakazia, kama haitoshi namkaza na huyo uliyemreplyItakuwa Makolo nao walikuwa Mizoga, kwasababu wao walikuwa wote 11 uwanjani na wakapigwa 5 hawa wapo 9 uwanjani
MAKOLO ni zaidi
mbona kama vile unanishambulia binti yangu