Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Koloz no koloz tuNakazia, kama haitoshi namkaza na huyo uliyemreply
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koloz no koloz tuNakazia, kama haitoshi namkaza na huyo uliyemreply
hili nalo ni shambulizi au kitu gani binti yanguHee imekua kukushambulia tena??? Eeh basi ntaacha kutoa mawazo yako jamani
Nmecheka walah 🤣🤣🤣🤣hili nalo ni shambulizi au kitu gani binti yangu
Sana tu maadam...! Anashusha gazeti sijui nani amuelewe. Huyu kasenyentwa naeGazeti lote hili la nini? Kunywa maji ukalale Mkuu.
Mambo yetu tuachie wenyewe.
Unasahau kwamba topolo nae alishawahi kukandwa 5 tena kwa nunge?Itakuwa Makolo nao walikuwa Mizoga, kwasababu wao walikuwa wote 11 uwanjani na wakapigwa 5 hawa wapo 9 uwanjani
MAKOLO ni zaidi ya Maiti aisee