Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
😂 ongeza siku za kuishi binti yanguNmecheka walah 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 ongeza siku za kuishi binti yanguNmecheka walah 🤣🤣🤣🤣
Mbona Mzee anapigaje assist ?WAHUTU O_ YANGA 6
WAHUTU WANAOKOTA MPIRA KWA NYAVU 😂
JAPO MIMI NI SIMBA ILA CHAMA WETU NI BALAA Kapiga assist nyingi balaaa
Kilicho sababisha wapungue hadi 9 nikitugani baelezee kumbe ilitakiwa wasilete timu uwanjani yanga, wasingelipata 30 milioni, swali fikirishi kwa wale wenye akili zilizofungwa nikitugani ulikiona hadi Vital'o' wakawa 9. Why vitali'o from Burundi were down by 9 against Yanga fc , with a detail of, 10 from first half and 9 in the second hal, additional question why Yanga sc maintained 11 players on the groundItakuwa Makolo nao walikuwa Mizoga, kwasababu wao walikuwa wote 11 uwanjani na wakapigwa 5 hawa wapo 9 uwanjani
MAKOLO ni zaidi ya Maiti aisee
Mi binti ako kweli?? Au ndo nawe umeamua kunishambulia 🤣🤣🤣🤣😂 ongeza siku za kuishi binti yangu
Simba kwenye uzi wa mashindano ya club bingwa Afrika mmefuata nini, anzisheni uzi wenu wa shirikisho.Unasahau kwamba topolo nae alishawahi kukandwa 5 tena kwa nunge?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]JF watu hampo serious kabisaMi binti ako kweli?? Au ndo nawe umeamua kunishambulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukitizama ni kama shambulizi wallah.haya mambo ya mpira bana ukicheki klabu yako na kwa jirani anavyo gawa njugu kwa idadiMi binti ako kweli?? Au ndo nawe umeamua kunishambulia 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ukitizama ni kama shambulizi wallah.haya mambo ya mpira bana ukicheki klabu yako na kwa jirani anavyo gawa njugu kwa idadi
mtu akikujulia hali tuh unaweza kuhisi ni shambulio
WameshatokaAzam lini
Hili gazeti mpelekee Fred MichaelVital,O ni timu iliyotoka kwenye nchi iliyoadhirika na vita na mara kwa mara ile nchi haijatulia,hivyo wale wachezaji na uongozi wanamadhara ya kisaikologia kama msongo wa mawazo(stress),maumivu ya moyo,sonona,wasiwasi, n.k ndio maana hata hakuweza kwenda kucheza kwao kwasababu ya kuhofia usalama...
Yanga wanatumia hii advantage (faida)kuwaadhibu wenzao...na timu ambayo inatoka kwenye mazingira kama haya timu yeyote kutoka Tanzania(hata lipuli ya iringa) ingeweza kuibuka mshindi.
Pia kutoka na mazingira kama haya Vital'O wanakosa support ya Washabiki wao,hawana uzoefu na viwanja na hali ya hewa ya Tanzania lazina yanga ingeshinda tu.
Nb.Nasikia viongozi wa yanga huwa wanaenda kuhxnga CUF ili wapangie timu zinazokabiliwa na mazingira kama haya.Eng.Hersi pia anatumia ile nafasi yake ya uongozi kusukuma au kusaidi swala kama hili.
Azam level yake ni Mlandege na JKU huko ZanzibarAzam wamekandwa 🤣😁😁
Naunga mkono hojaAzam level yake ni Mlandege na JKU huko Zanzibar
Mashabiki wa timu za shirikisho mnatafta nini hukuVital,O ni timu iliyotoka kwenye nchi iliyoadhirika na vita na mara kwa mara ile nchi haijatulia,hivyo wale wachezaji na uongozi wanamadhara ya kisaikologia kama msongo wa mawazo(stress),maumivu ya moyo,sonona,wasiwasi, n.k ndio maana hata hakuweza kwenda kucheza kwao kwasababu ya kuhofia usalama...
Yanga wanatumia hii advantage (faida)kuwaadhibu wenzao...na timu ambayo inatoka kwenye mazingira kama haya timu yeyote kutoka Tanzania(hata lipuli ya iringa) ingeweza kuibuka mshindi.
Pia kutoka na mazingira kama haya Vital'O wanakosa support ya Washabiki wao,hawana uzoefu na viwanja na hali ya hewa ya Tanzania lazina yanga ingeshinda tu.
Nb.Nasikia viongozi wa yanga huwa wanaenda kuhxnga CUF ili wapangie timu zinazokabiliwa na mazingira kama haya.Eng.Hersi pia anatumia ile nafasi yake ya uongozi kusukuma au kusaidi swala kama hili.
Wanaumwa hao wanetu 😂 😂 😁Mashabiki wa timu za shirikisho mnatafta nini huku
Hatutaki historia ya miaka ya 47 hapa 🤣🤣🤣Unasahau kwamba topolo nae alishawahi kukandwa 5 tena kwa nunge?
Huyu wala hajui kutukana...naona ndio anaanza kujifunza kwa mama yake...ngoja kwanza tuangalie Mods atamfanya nini kabla hajafunzwa na sisi ulimwenguMkuu huyu inafaa aripotiwe Kila siku amekuwa anatukana humu hovyo
Naunga mkono hojaHuyu wala hajui kutukana...naona ndio anaanza kujifunza kwa mama yake...ngoja kwanza tuangalie Mods atamfanya nini kabla hajafunzwa na sisi ulimwengu