princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Alichoka mapema akaona ajichomeshe😂😂😂[emoji23][emoji23]ila uyu homeboy alizingua sanaView attachment 3078364
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichoka mapema akaona ajichomeshe😂😂😂[emoji23][emoji23]ila uyu homeboy alizingua sanaView attachment 3078364
Na mechi ngumu hatoanza ataanzia benchiChama mkali kwa mechi za Timu inayompa nafasi ya mdaa kuamua afanye Nini angalau sekunde 4; mechi ambayo inamotooo kama Ile ya Belozdad au Al Ahal chama ni O. #Yanga Wana kosiii ukweli🔥🔥🔥ndani ntitii njee ntitiii....Haalaaaaah.
Kwa hiyo tunakubaliana kwamba Azam ni JKU iliyochangamka🤔Naunga mkono hoja
Ndio 😂😁😁😁Kwa hiyo tunakubaliana kwamba Azam ni JKU iliyochangamka🤔
Umemaliza.Maisha ya soka ndivyo yalivyo unadhani kipindi aly Ahly /kaizer chiefs /wydad na timu zingine wanatufunga zile 5 5 hapa walikuaga wanatuchukuliaje?? Walikua wanajua wanakuja kutukanyaga waendelee na safari zao hatukua kitu kabisa! Ila tazama sasa sisi ndo tunawakanyaga watu watu wakija kwa mkapa huwa wanaogopa wanajua challenge accepted....
Ndo raha ya kukua mkuu enjoy
Naunga mkono hoja
Yaani pale mzee Bakhresa wanamlia hela tu. Kila mwaka wa hapa hapa.Kwa hiyo tunakubaliana kwamba Azam ni JKU iliyochangamka🤔
Ngoja nimwite muhasibu aje atupe faida na hasara😊Mbona Mzee anapigaje assist ?
Hivi yule beki aliye ruka kama kipa na kuzuia mpira kwa mkono ili goli lisipatikane hakujua kama atapewa ♥️ red kadi?Ngoja nimwite muhasibu aje atupe faida na hasara😊
Kuna na yule ali vuta bukta akapigwa UMEMEHivi yule beki aliye ruka kama kipa na kuzuia mpira kwa mkono ili goli lisipatikane hakujua kama atapewa ♥️ red kadi?
Bahati nzuri wachezaji wana chupi zinazo bana duu kule ni kudhalilisha bahati nzuri refa anajua kutafsiri sheriaKuna na yule ali vuta bukta akapigwa UMEME
Vile sio vitendo vya kiuanamichezo
True,Bahati nzuri wachezaji wana chupi zinazo bana duu kule ni kudhalilisha bahati nzuri refa anajua kutafsiri sheria
Rajaa kaua 5 mtuu agg 9. So poaa mkuuOrlando na raja amna team pale, labda pyramids
aggregate 7-1. away alishinda 2-1Rajaa kaua 5 mtuu agg 9. So poaa mkuu
Ooooh,umekubali naoo ni 🔥🔥aggregate 7-1. away alishinda 2-1
Hawezi kuja, maji marefu hapa.Ngoja nimwite muhasibu aje atupe faida na hasara😊
Tukiona gemu haina kasi hiyo ya chamaNa mechi ngumu hatoanza ataanzia benchi
Zile mechi zenyewe aah lazima Gamond awapange wakina Pacome
Chama atake asitake hizo atatokea benchi