FT: CAFCL: Young Africans SC 1-0 Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023

FT: CAFCL: Young Africans SC 1-0 Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023

1. Simba Ameisha toka huko kwa WATOTO

2. Simba anawaza Mashindano makubwa kama super Cup

3. Simba amelamba BILIONI 5 super cup. (Super league)

4. Uwanja WA Mkapa unakarabatiwa kwaajili ya super League.

5. Africa inajiandaa kupokea ugeni MZITO kutoka Duniani.
RAIS WA Fifa na Mashirikisho yake.

KILA LAKHERI MNYAMA MKALI.
Yani we jamaa nakuonaga unaakili kumbe nawe ni mbumbumbu kama wenzio sasa mambo ya simba yanaingia vp kwenye uzi wa mechi ya YANGA
 
Sept 11,2022.

CPA(T) OKW BOBAN SUNZU,"Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija."

Masaa 11 baadae.
Screenshot_20230930-102605.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Simba Ameisha toka huko kwa WATOTO

2. Simba anawaza Mashindano makubwa kama super Cup

3. Simba amelamba BILIONI 5 super cup. (Super league)

4. Uwanja WA Mkapa unakarabatiwa kwaajili ya super League.

5. Africa inajiandaa kupokea ugeni MZITO kutoka Duniani.
RAIS WA Fifa na Mashirikisho yake.

KILA LAKHERI MNYAMA MKALI.
Sikujua kama Simba imejitoa kwenye haya mashindano ila leo kijana wa Rage fc ndio kanijuza kuwa Simba kwenye michuano ya watoto kaishatoka. Eeeh Mungu fanya kama alivyosema huyu kijana wa Rage fc kwa vitendo yaani iwe kweli wamejitoa haswa hiyo kesho wasubirie super league yao.

Halafu kijana wa Rage fc haitwi super cup mashindano yenu ya wageni waalikwa, bali yanaitwa African football league ambapo awali yaliitwa African super league.

N.B
Kesho mtolewe ili muwe mmeshatoka huku kwa watoto
 
Back
Top Bottom