Yani we jamaa nakuonaga unaakili kumbe nawe ni mbumbumbu kama wenzio sasa mambo ya simba yanaingia vp kwenye uzi wa mechi ya YANGA1. Simba Ameisha toka huko kwa WATOTO
2. Simba anawaza Mashindano makubwa kama super Cup
3. Simba amelamba BILIONI 5 super cup. (Super league)
4. Uwanja WA Mkapa unakarabatiwa kwaajili ya super League.
5. Africa inajiandaa kupokea ugeni MZITO kutoka Duniani.
RAIS WA Fifa na Mashirikisho yake.
KILA LAKHERI MNYAMA MKALI.
Na mlango wa kwenda kimataifa ukafunguliwe leoCAFCL: Young Africans SC Vs Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023
Time 1900Hrs EST
Second preliminary round · Leg 2 of 2
Aggregate: 2 - 0
View attachment 2766911
Kwani uongo pora gamond ndio habari ya mjini sio lile matege lenu mitege kma banio[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Liwakute lolote maana siku hizi mnajiona wenyewe ndiyo wenye mpira nchi hii.
Nenda Al_Mereck sisi tuko nyuma yenu
Sikujua kama Simba imejitoa kwenye haya mashindano ila leo kijana wa Rage fc ndio kanijuza kuwa Simba kwenye michuano ya watoto kaishatoka. Eeeh Mungu fanya kama alivyosema huyu kijana wa Rage fc kwa vitendo yaani iwe kweli wamejitoa haswa hiyo kesho wasubirie super league yao.1. Simba Ameisha toka huko kwa WATOTO
2. Simba anawaza Mashindano makubwa kama super Cup
3. Simba amelamba BILIONI 5 super cup. (Super league)
4. Uwanja WA Mkapa unakarabatiwa kwaajili ya super League.
5. Africa inajiandaa kupokea ugeni MZITO kutoka Duniani.
RAIS WA Fifa na Mashirikisho yake.
KILA LAKHERI MNYAMA MKALI.
Tukuwaze wewe?Watu mnawaza mpira tu
Mkuu utaanika mipaja wazi?Tukuwaze wewe?
Nyuma ya Al mareck unafanya nini?Liwakute lolote maana siku hizi mnajiona wenyewe ndiyo wenye mpira nchi hii.
Nenda Al_Mereck sisi tuko nyuma yenu
Nimeshayaanika kitambo,Mkuu utaanika mipaja wazi?
Hizo 5 mpunguzie el merreikh ili zimsaidie kuvuka makundi
Hadi huruma. Mbona mnashindana na dada zenu kukaa nusu uchiNimeshayaanika kitambo,
Njoo hapa Chamazi uyaone
Super cup ni shindano linakutanisha bingwa wa kombe la shirikisho vs bingwa wa klabu bingwa ambapo kwasasa USMA ndiye bingwa wa super cup.SUPER LEAGUE, SUPER CUP...
Dar joto,Hadi huruma. Mbona mnashindana na dada zenu kukaa nusu uchi
Sishangai Jioni tukikutana na connection mashabiki wa Uto wanakulanaDar joto,
Yakiwa wazi mwili unapumua
Pora=piraKwani uongo pora gamond ndio habari ya mjini sio lile matege lenu mitege kma banio[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app