FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024

FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024

Mkuu tusiwe watu wa kulaumu sio siku zote timu itashinda magoli mengi, wale ni binadamu sio maroboti ama malaika kwamba hawawezi kukosea. Kushinda away sio jambo rahisi hivyo kwa mpira wa Africa. Tusifunze kupunguza high expectations kama ushindi tu wa goli moja watu mnataka kuandamana kuwazonga wachezaji je siku ikitokea Yanga imefungwa sio mtachoma jengo la klabu? Mechi ya kwanza imeshinda favour imeenda kwa Yanga japokuwa yupo ugenini ni wakati wa timu kujipanga kwa marudiano na hii ni hatua ya mtoano hivyo ni timu kujipanga kwa dakika 90 zingine za kufanya ifuzu haijalishi kwa magoli machache ama lah
Ishu siyo kulaumu! Shida ni kukosa kwao utulivu na umakini kwenye safu ya ushambuliaji. Kama Yanga inataka kweli kuwa katika level za akina Al Ahly, basi wachezaji wanatakiwa kuondokana na huu udhaifu! Na hivyo kutumia ipasavyo nafasi za kufunga.

Haiwezekani zaidi ya nafasi 5-6 za wazi, timu inaambulia goli moja pekee. Mbele ya safari timu ikipoteza nafasi adimu kama hizi za kwenye mechi ya leo, itakosa nafasi ya kusonga mbele.
 
Ishu siyo kulaumu! Shida ni kukosa kwao utulivu na umakini kwenye safu ya ushambuliaji. Kama Yanga inataka kweli kuwa katika level za akina Al Ahly, basi wachezaji wanatakiwa kuondokana na huu udhaifu! Na hivyo kutumia ipasavyo nafasi za kufunga.

Haiwezekani zaidi ya nafasi 5-6 za wazi, timu inaambulia goli moja pekee. Mbele ya safari timu ikipoteza nafasi adimu kama hizi za kwenye mechi ya leo, itakosa nafasi ya kusonga mbele.
Mpira sio mchezo mrahisi hivyo kama mnavyouchambua kwa kuungalia kwenye TV, hao hao Al Ahly unaowazungumzia wanakosa nafasi nyingi sana za wazi. Nakupa reference, kaangalie mechi ya AFL kati ya Simba vs Al Ahly uwanja wa Mkapa, angalia Al Ahly walikosa nafasi zaidi ya sita. Siku hazinafani na mazingira hayafanani. Kufunga sio jambo jepesi kwenye mpira wa miguu yule straika aliyesajiliwa kutoka Dortmund aliyevunja record ya usajili Al Ahly na Percy Tau wanashindwa sembuse hawa wakina Dube? Tusichukulie mpira ni mchezo mwepesi kuna tension na mazingira tofauti tofauti magumu na mbaya zaidi unatakiwa ufanye maamuzi ya haraka na makadirio sahihi.
 
Hawa ni digidigi wa dogo mno sema tu uto imeanza kupotea kwa mbali mno ,mpaka uwe na d mbili tu ndio utaelewa😅
Hao Man City leo kashinda Mbili moja kwake Etihad, Liverpool kagongwa moja bila Annfield. Hapo ndipo uone wachezaji wanafatigue.

Tuna wasubiria nyie kesho, maana kabla mechi mnatuambia mnauzoefu wa michuano hii. Ila baada mechi mtaanza kusema mnajenga timu.
 
Mpira sio mchezo mrahisi hivyo kama mnavyouchambua kwa kuungalia kwenye TV, hao hao Al Ahly unaowazungumzia wanakosa nafasi nyingi sana za wazi. Nakupa reference, kaangalie mechi ya AFL kati ya Simba vs Al Ahly uwanja wa Mkapa, angalia Al Ahly walikosa nafasi zaidi ya sita. Siku hazinafani na mazingira hayafanani. Kufunga sio jambo jepesi kwenye mpira wa miguu yule straika aliyesajiliwa kutoka Dortmund aliyevunja record ya usajili Al Ahly na Percy Tau wanashindwa sembuse hawa wakina Dube? Tusichukulie mpira ni mchezo mwepesi kuna tension na mazingira tofauti tofauti magumu na mbaya zaidi unatakiwa ufanye maamuzi ya haraka na makadirio sahihi.
Tusitetee ujinga eti kwa sababu kuna timu kubwa pia ilifanya ujinga kama huo!! Kwenye michuano mikubwa timu hutofautishwa na uwezo wa kutumia nafasi!! Vinginevyo tukiwa tunatetea ujinga wa kupata nafasi nyingi za wazi na kutumia moja tu tutasubiri sana kutoboa!! Inaelekea Yanga wameridhika na mafanikio ya kuifunga timu moja ya huko kwa mzee Madiba magoli 4 kwa bila!! baada ya hapo hatuioni ikiwa na concetration ya mchezo!
 
Matokeo ya leo yamenifadhaisha ingawa siyo sana kwani nilibet ushindi wa Yanga kuwa 3-0.. Kwa hiyo yanga kushinda nimepatia ila idadi ya mabao nikakosa. Ninatumaini kuwa katika mcheazo wa marudia Yanga itashinda kwa zaidi ya 3-0
 
Naona Utopolo aka Malalamiko FC wanalialia fatigue, utafikiri wachezaji wa CBE hawakuwa kwenye timu zao za taifa.
 
Tusitetee ujinga eti kwa sababu kuna timu kubwa pia ilifanya ujinga kama huo!! Kwenye michuano mikubwa timu hutofautishwa na uwezo wa kutumia nafasi!! Vinginevyo tukiwa tunatetea ujinga wa kupata nafasi nyingi za wazi na kutumia moja tu tutasubiri sana kutoboa!! Inaelekea Yanga wameridhika na mafanikio ya kuifunga timu moja ya huko kwa mzee Madiba magoli 4 kwa bila!! baada ya hapo hatuioni ikiwa na concetration ya mchezo!
Yanga hadi inaingia leo, imepoteza mechi ngapi? Nyie ndio hamjui mpira mnaingia na matokeo mfukoni kuwa timu fulani leo itakula nyingi kama vile ndio mnaingia uwanjani kucheza. Narudia tena hakuna mechi ngumu Africa kama kucheza ugenini haijalishi dhidi ya timu gani. Yanga kushinda away ni pongezi nyingi sana kwasababu wapo mguu mmoja kucheza makundi. Wewe unapiga kelele kulalamika hujui hata hao wachezaji ni namna gani au wamekumbwa na mazingira gani mfano mdogo tu ni kwamba katika kikosi cha leo
Dube, Abuya, Mudathir, Baca, Mwamnyeto, Diara, Chama, Aucho, Dube, Job, hawa wote wametoka kucheza mechi za kimataifa za AFCON hawajapumzika na wameunganisha kusafiri kucheza mechi kuna swala la uchovu hapo.

Mpaka saivi ni mechi nane za klabu bingwa zimechezwa na katika hizo mechi nane hadi sasa ni timu tatu tu zimefanikiwa kushinda away ambayo ni Yanga, Orlando Pirates na Tp Mazembe.
Petro Luanda na uzoefu wake kachapwa away na Pyramids hadi sasa kaishafungwa na APR. Tujifunze kuridhika na matokeo sio kulaumu laumu na kukosoa tu mpira ni pamoja na kukosea wale ni binadamu.
 
Kitu nachukia ni mechi kupelekwa Zanzibar ule uwanja hauna tofauti na abebe Bikila mdogo na kapeti yake umechoka na Leo imechezwa final pale sijui ya kombe gani ila imejaza sio poa lazima pichi itakuwa haiko poa
Game ipigwe dar Mkapa wale cbe watakaa vizuri
 
Back
Top Bottom