FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024

FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024

Halafu kwa Sasa viongozi wasishughulike sana na wachezaji
Maana maisha nje ya uwanja inaonekana yamekuwa makubwa sana kuliko maisha ndani uwanja
 
braza nipangie mirenda
 

Attachments

  • download-1.jpeg
    download-1.jpeg
    8.3 KB · Views: 1
Na tumeona Mchezo mzima niseme tu Timu ipo ila naona sasa Wachezaji wenu wameanza Kulewa Sifa na Kujisahau.
Hakuna timu duniani inayoshinda magoli mengi kila mchezo bali kuna mchezo utatoa sare, kuna mchezo utashinda kwa mbinde kagoli kamoja na mchezo utashinda magoli mengi hiyo itategemeana na wachezaji wapo timamu kimwili na kiakili kwa kiasi gani na mpinzani atafanya makosa kwa kiasi gani. Yanga ndio timu pekee iliyotoa wachezaji wengi kwenda kucheza mechi za AFCON na hao wachezaji hawakupata muda wa mapumziko wala kuungana na program ya mwalimu zaidi ya kusafiri kukutana wenzao kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo. Na la mwisho ni kwamba Yanga imeshinda na imeshinda ugenini huku baadhi ya mashabiki wa Simba wakitarajia Yanga ifungwe. Macho na masiko kwasasa tunayapeleka kule Libya
 
Wahabesh wana pumzi za kutosha, ilibaki kidogo vyura wapelekewe moto
Wakati ningali kijana nikiwa mwanafunzi wa masters niliwahi kuwa na uhusiano na msichana mmoja wa kihabeshi kutoka Ethiopia ambaye alikuwa anasoma masters ya nutrition wakati huo. Alikuwa mzuri sana ila binti yule tulishindana kwa vile alikuwa na mapafu ya duma, yaani alikuwa hachoki!

Ukisikia Abebe Bikila alikuwa mshindi wa Olimpiki ujue mapafu yao siyo ya kawaida; ni kama yale ya Wanandi wa Kenya mabo nao hawachoki haraka.
 
Ila damu ya kihabesh, sijuo Somalia sijui ,Eritrea damu haina woga na ina ujasiri mpaka wewe wa pembeni unaogopa yale majamaa ya jana ya CBE yalikua yanapeana pasi hapo hapo golini kwao na anayepewa pasi kazungukwa na Yanga wanne au watatu nae bila kupoteza anawatoka anampa pasi wa pembeni yake ,kwa kifupi sijaona butua butua mpaka inatisha
 
Ila damu ya kihabesh, sijuo Somalia sijui ,Eritrea damu haina woga na ina ujasiri mpaka wewe wa pembeni unaogopa yale majamaa ya jana ya CBE yalikua yanapeana pasi hapo hapo golini kwao na anayepewa pasi kazungukwa na Yanga wanne au watatu nae bila kupoteza anawatoka anampa pasi wa pembeni yake ,kwa kifupi sijaona butua butua mpaka inatisha
Wachezaji wa Yanga wanafanya high pressing kwa vipindi, kuna muda wamewafanyia pressing na hivyo vipasi vyao wakachoma zaidi ya mara tatu ila umakini tu wa umaliziaji ukawa mdogo. Ila jana kungekuwa na umakini walikuwa wanaokota mengi tu nyavuni, sijui imekuaje wachezaji wa Yanga wakawa wanashindwa kulenga goli
 
Majibu ya kisayansi juu ya performance ya Yanga katika mechi ya jana kwa hisani ya AI.


Altitude can significantly affect footballers' performance, primarily due to the reduced oxygen levels at higher elevations. Here are the main effects:

1. Reduced Oxygen Availability: At higher altitudes, the air contains less oxygen, which can lead to quicker fatigue for footballers as their muscles receive less oxygen. This can reduce endurance and the ability to maintain high-intensity efforts throughout the game.

2. Increased Breathing Rate and Heart Rate: To compensate for the lower oxygen levels, the body increases the breathing rate and heart rate, which can make players feel more tired than usual, especially if they are not accustomed to the altitude.

3. Dehydration: High-altitude environments are often cooler and drier, which can increase fluid loss through respiration and perspiration. Players need to stay well-hydrated to avoid dehydration, which can impair performance.

4. Slower Recovery: The body's recovery from exertion may be slower at high altitudes due to the reduced oxygen supply, making it harder for players to sustain peak performance across multiple matches or training sessions.

5. Ball Trajectory Changes: The reduced air density at higher altitudes can alter the flight of the ball, making it travel faster and farther. This can affect passing accuracy, shooting, and overall gameplay strategies.

Footballers who are not acclimated to high altitudes may need time to adjust, while players and teams based at high altitudes often have an advantage over visiting teams who are not used to the conditions.
 
Kitu nachukia ni mechi kupelekwa Zanzibar ule uwanja hauna tofauti na abebe Bikila mdogo na kapeti yake umechoka na Leo imechezwa final pale sijui ya kombe gani ila imejaza sio poa lazima pichi itakuwa haiko poa
Game ipigwe dar Mkapa wale cbe watakaa vizuri
Mchezo wa marudio ukipelekwa huko Zanzibar, na ikatokea timu ikatolewa; basi viongozi wa timu watabeba lawama zote.

Maana sababu zao za kuupeleka huo mchezo Zanzibar zimekaa kisiasa! Na pia zina viashiria vya kujikomba komba na kujipendekeza kwa Bibi Kizimkazi, huku wakitumia visingizio dhaifu ili tu kuhalalisha huo upuuzi wao.
 
Mchezo wa marudio ukipelekwa huko Zanzibar, na ikatokea timu ikatolewa; basi viongozi wa timu watabeba lawama zote.

Maana sababu zao za kuupeleka huo mchezo Zanzibar zimekaa kisiasa! Na pia zina viashiria vya kujikomba komba na kujipendekeza kwa Bibi Kizimkazi, huku wakitumia visingizio dhaifu ili tu kuhalalisha huo upuuzi wao.
Mchezo wa marudio ukipelekwa huko Zanzibar, na ikatokea timu ikatolewa; basi viongozi wa timu watabeba lawama zote.

Maana sababu zao za kuupeleka huo mchezo Zanzibar zimekaa kisiasa! Na pia zina viashiria vya kujikomba komba na kujipendekeza kwa Bibi Kizimkazi, huku wakitumia visingizio dhaifu ili tu kuhalalisha huo upuuzi wao.
Na hadi Sasa team Ina struggle kwa ajili ya viongozi wapenda sifa wasiokubali ushauri
Team ilipelekwa kwenye pre season ngumu sana ambayo haikumpa kocha urahisi wa kujenga team
Refer mahojiano ya Hersi anasema kocha hakupendekeza pre season ya SA ila viongozi wakalazimisha na Sasa wanapeleka game new amani ambao ni uwanja mbaya Bora Azam complex au hata kmc
Wale cbe wamempiga villa kwake
Najua tutashinda na naombea tushinde ila siasa ziachwe nje Zanzibar Wana team zao na Jana walikuwa na final hapo sijui Pancho na Wete uwanja ulijaa pomoni Wala hawahitaji Simba na yanga kufurahia soka
 
Back
Top Bottom