Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Kwani Bado mnatembeza bakuli?Kila la heri kwa timu ya Wananchi Young Africans πππͺ
Huo sio utani bali ni udhalilishaji, ushabiki usifanye mtu ukakosa akili, busara na maarifa na kufikia kudhalilisha watu.
Mabululu kafunga busta anawasubiriWaethiopia hii gemu tunaimaliza kwenye uwanja wetu.
kuna sehemu zambia panaitwa mavuzi, napo tusemeje?Jina la huu uwanja mbn la kihuni huni
Mpira unadunda dakika 90 usije ukashangazwa.Mechi ya leo kwa wananchi ni lainiii,kama unanawa
Sijajua Jamaa kawaza nini mpaka kuposti kitu kama hichoHuo sio utani bali ni udhalilishaji, ushabiki usifanye mtu ukakosa akili, busara na maarifa na kufikia kudhalilisha watu.
Watoto mlio zaliwa gest mnashida