Lolote baya la kimchezo liwakuteπ€£π€£π°πππππππππ°
π #CAFCL
β½οΈ Cbe SA π Yanga SC
π 14.09.2024
π Abebe Bikila Stadium
π 15:00 Alasiri
View attachment 3095275
tuwakande ngapi hawa wanachuo..?Saa tisa tu daaah!!!!
Nikampikie kabisa shemeji ake refa mapemaaaaa.......ili nisiwe na haraka za kumuomba refa amalize mpira.
Wanachuo waondoke na zao nne, moja watawagawia majirani zao wa hapo msimbazi college....tuwakande ngapi hawa wanachuo..?
safi kabisa na mshemu nae akuchape vi nne nakamimba kamoja juu...πWanachuo waondoke na zao nne, moja watawagawia majirani zao wa hapo msimbazi college....
Kila la kheri wananchi ππππ°πππππππππ°
π #CAFCL
β½οΈ Cbe SA π Yanga SC
π 14.09.2024
π Abebe Bikila Stadium
π 15:00 Alasiri
View attachment 3095275
Tunza hii kolo wewe wa shirikishoKila lenye heri kwa Waethiopia, mshinde chuma tatu kwa nunge.
NB:
Zingatia jina la uwanja
Unataka kunichokoza? Sichokozeki. Yanga Bingwa π°π°π°π°π°π°π°π°Bantu Lady mambo...π
mwenyewe yanga sema tuwachape ngapi hawa halafu kesho makolo wafanywe nini..?Unataka kunichokoza? Sichokozeki. Yanga Bingwa π°π°π°π°π°π°π°π°
Hukawii wewe kuchafua hali ya hewa. Sisi 3 wao plus madunduka waondoke na karai.mwenyewe yanga sema tuwachape ngapi hawa halafu kesho makolo wafanywe nini..?
mi mpole nimefunzwa adabu nimekuwa mume bora sana ..πHukawii wewe kuchafua hali ya hewa. Sisi 3 wao plus madunduka waondoke na karai.
π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°