Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Duuh hii hii iliyowafunga nyie magoli yaleyale ambayo sisi tumeifunga auIhefu ni bora kuliko makolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh hii hii iliyowafunga nyie magoli yaleyale ambayo sisi tumeifunga auIhefu ni bora kuliko makolo
Usijeshangaa timu mbovu unalingana nayo pointsUmeamua kujificha Ihefu, timu yako mbovu hutaki kuisikia
Ngoja kwanza mkuu"Wanayanga naona wana furaha mpwitempwite furaha bojobojo"
Walid Mzize anapiga UTOSI wa maana.
Ni maneno ya huyu mtangazaji wa hii mechi na Coast. Ni raha sana kumskiza huyu mtangazaji, cjui anaitwa nani huyu. Atafika mbali huyu.🤣🤣🤣
AahaaaaaOgopa sana timu inacheza mechi na shirikisho la mpira halafu inashinda, OGOPA SANA 💚💛
Hii pasi sijui nani kaisafirisha ..inatua mguuni halafu kifuatacho itv hapo...Pacôme Zouzoua Anafanya Mpira Wa Miguu Uonekane ni Mchezo Rahisi Sana DunianiView attachment 2808171
Kidogo kidogo maumivu yataisha Mkuu. 😂😂Hayo maviganja na maviwiko mliyokuwa mnayapunga hapo uwanjani yamepoteaje enyi Uto vyura wa jangwani 😁
Mnajijua kabisa wenye akili ni 2 tu huko, wengine wote ni wehu.
Kila saa kunyoosha limkono kisa tano, na leo mlijiandaa na tano zingine wehu nyie.
Ukiwaza kuwa hao ni marehemu basi we ni miongoni mwa wale wehu wa jangwani (ukitoa mstaafu na dingi akee Haji 😂😂
😂😂😂Zinakuingizia Tsh ngapi hizo post hadi uteseke hivyo we Kolowizards [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwani lazima ufanye [emoji870]️[emoji870]️[emoji870]️[emoji849][emoji849]Kidogo kidogo maumivu yataisha Mkuu. [emoji23][emoji23]
[emoji870][emoji870][emoji870]
CPA holder unaitwa huku...!Halafu kama haitoshi ebu mtag bwana muwasibu ..
Mwambie kuwa Mayele na leo katetema
AahaaaaView attachment 2808160
Haah lazima maana imelipiwa mahali...Kula uliwe
Umeiona timu yako,hapo ndipo ujue kocha kaonewa.Acha maneno mengi.
Tukutane kesho uhuru stadium 🏟️
Kaka vip haya ngapi ngapi?Acha maneno mengi.
Tukutane kesho uhuru stadium 🏟️