Simba amepakatwa tangaKwani kuna habarii gani huku jamani? [emoji23]
ephen_ usiwe serious sana mdogo angu. But i will change, pole kama umekwazikaMimi nakuheshimu sana, lakini huwa unaniambia maneno nisiyoyapenda
Tafadhali rekebika!
😂😂Afadhan kifungo kimeishaa uje kuwakera makoloooo 🤣😂
Mbona hivyo jamani? Mi nimeuliza tu kwa 'wema'.1-1.
Furahi basi!!
watafutwe walipo tukijisahau watajiua hawa umbwa...Makolo hawapo uwanjani,hawapo vibanda umiza na hawapo mitandaoni wako wapi hawa makolo?
Tupo toiletMakolo hawapo uwanjani,hawapo vibanda umiza na hawapo mitandaoni wako wapi hawa makolo?
Umerudi [emoji1787][emoji23][emoji23]
Kazi iendelee mkuu😂Umerudi [emoji1787]