Hapa ni Mpirani, Nendeni Kafanyianeni Matibabu Hospitalini jamaniAlikutaka Nini πππ π
Anywei Kama Kelloid ni Ndogo Matibabu fanya ya aina mbili tu..
TAC(Triamcinolone acetonide) intralesional injection-hii ndo inachomwa kwenye Sehemu yenye scar au Lesion..
Au
Fanya CryoTherapy (Ila tumia Liquid Nitrogen)
Kama panawasha sana kwa sasa hivi paka Hydrocortisone Cream huku unasubiri hayo matibabu
Hivo ni visingizio tu,huwezi kuwa na presha kuwaza draw ya tar 12 wakati ligi upo namba 3Sio Ubobu Pressure ya wachezaji bado ipo kwenye CAFCL..Wanawaza hiyo tarehe 13 watapamgwa na kina nani...
So.morale lazima ishuke
Kabisa, refa anatuchelewesha nyumbani π’
Kama kawaida Mkuu makolo wenzio wamekuachia uzi uhangaike nao. πBado dakika nyingi sana.
Kwanza tunaweka nguvu kubwa Kimataifa
Ligi haina tatizo tunajua anayechukua Mwaka huu ni aZam na Simba mshindi wa Pili Yanga mshindi wa TatuHivo ni visingizio tu,huwezi kuwa na presha kuwaza draw ya tar 12 wakati ligi upo namba 3
Kabisa tunataka tukapike sie. πππKabisa, refa anatuchelewesha nyumbani π’
Haswaa. ππPiga madudunka hao
View attachment 2929681