FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

Alikutaka Nini 😀😀😅😅
Anywei Kama Kelloid ni Ndogo Matibabu fanya ya aina mbili tu..

TAC(Triamcinolone acetonide) intralesional injection-hii ndo inachomwa kwenye Sehemu yenye scar au Lesion..

Au
Fanya CryoTherapy (Ila tumia Liquid Nitrogen)

Kama panawasha sana kwa sasa hivi paka Hydrocortisone Cream huku unasubiri hayo matibabu
Hapa ni Mpirani, Nendeni Kafanyianeni Matibabu Hospitalini jamani
 
Sio Ubobu Pressure ya wachezaji bado ipo kwenye CAFCL..Wanawaza hiyo tarehe 13 watapamgwa na kina nani...

So.morale lazima ishuke
Ni tarehe 12.03.2024 Siku ya Jumanne.
Saa Tisa Kamili Jioni EAT
 
Back
Top Bottom