FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

Dr. Naomba kujua dawa ya kutumia kwa ear keloid inayoanza
Naisikia uvimbe kwa mbali nimejua ni yenyewe sababu inawasha.

Nilienda kwa specialist wa ngozi hospital fulani nikaanza sindano lkn sikumaliza sababu aliniletea habari sizo.
Alikutaka Nini 😀😀😅😅
Anywei Kama Kelloid ni Ndogo Matibabu fanya ya aina mbili tu..

TAC(Triamcinolone acetonide) intralesional injection-hii ndo inachomwa kwenye Sehemu yenye scar au Lesion..

Au
Fanya CryoTherapy (Ila tumia Liquid Nitrogen)

Kama panawasha sana kwa sasa hivi paka Hydrocortisone Cream huku unasubiri hayo matibabu
 
Back
Top Bottom