mkuu kumbe ulikumbwa na huu uchambuzi wa kipumbavu hahahahahaUthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini. Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa. Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea...www.jamiiforums.com
Eendiwoooo ndiwooo!!ππͺShouzzz mbna inafahamika yanga ya motoo, ushindi ni wenuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usm alger ndio klabu bora afrika ndie anaenda kucheza klabu bingwa duniaWanadhan ni USMA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna pengo wala mwanyaa.Pengo la nani limetuangusha? Diara? Mwamnyeto? Au shida iko wapi?
Wajibu wenye akili timamu tu, vichaa hii sio sehemu yenu.
mkuu kumbe ulikumbwa na huu uchambuzi wa kipumbavu hahahahaha
Extended comment ,aisee nimechekaaaaaKumbukeni Hao ni Belouizdad wanaowapapasa matako, Najaribu kufkiria mkikutana na Al ahly kitawakuta kitu gani
Chaliii, kifo cha mende , teh teh
Nilisema vichaa wasijibu lakini.Pengo hili hapa
Uthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini. Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa. Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea...www.jamiiforums.com
kwamba goli la tano inonga aliuwah mpira hahahahaha acha ujinga mkuuUthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini. Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa. Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea...www.jamiiforums.com
SwadaktaaaaAmeeeeeennnaa![emoji1783]
Siwezi fanya huo utoto mkuu.Na uondoke kweli....
kila laheri japo utaibuka na I'd mpya kama jamaa fulani (jina kapuni)
thank you C'ssy, I really need that hakika..!!πππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aki Pole basi.
Nilisema vichaa wasijibu lakini.
11.Alhadi a'sharah1. Wahda
2. Ithiniya/athan
3. Thalasa
4. Arba
5. Hamsa
6. Sitatuh
7.sabaa'tuh
8. Thamaniyatuh
9. Tis'atuh
10. A'sharah
Kwaio watakufa kiumeLa pili
Ila wanacheza vizuri sana Yanga ni basi tu.
We subiri leo mpk watu wachanganyikiweHivi kweli waarabu wanavyocheza vile,pasi wanafikisha,speed na kutafuta position nzuri ni timu mbovu? Yanga wamechangayikiwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyechambua hapo alimaliza kazikwamba goli la tano inonga aliuwah mpira hahahahaha acha ujinga mkuu