FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

kwamba goli la tano inonga aliuwah mpira hahahahaha acha ujinga mkuu
 
Ivi hii Yanga ndo walikuwa wanalalamika hawajaitwa AFL ? 🤣 vituko mbona wangekamuliwa mpka washangae...Aisee shukuruni sana Caf kwa kuwaepusha na Aibu ambayo ingewakuta AFL tena mbele ya Infantino,

Haya huyo rais wenu na leo amwambie Rais wa Fifa kwamba Wameshikilia Bomba huku pande za Algeria
 
kwamba goli la tano inonga aliuwah mpira hahahahaha acha ujinga mkuu
Aliyechambua hapo alimaliza kazi

 
Back
Top Bottom