Kabisa kabisa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2nd half mnarudisha na kushinda juu.
MiujizaAposto Nini kimetokea ( voice of mwamposa)
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]thank you C'ssy, I really need that hakika..!![emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiwo ndiwoooKabisa kabisa....
Daima mbele nyuma mwiko...
😂😂😂Mi
Nimekumbuka ucheshi wa ndugu flani.
Mwambie tusalimiane, sisi ni ndugu.
Ukimwambia ujumbe huu ataelewa code amesoma Cuba yule.
Eeeh nini kimetokeaMiujiza
Mpaka wanafanya sherehe na mabango, hakika Simba ni lidude likubwaShida kuifunga Simba mmejikuta mko “cloud nine”[emoji3]
sio kwa yanga hiiMechi ya yanga dhidi ya ahly cairo tutashuhudia mvua ya magoli yanga akifungwa. Yaani sabaa'tuh bin sufur.
Kwangu mimi naona ni Diara.Pengo la nani limetuangusha? Diara? Mwamnyeto? Au shida iko wapi?
Wajibu wenye akili timamu tu, vichaa hii sio sehemu yenu.
Tulia wewe KOLO 🤪Mna cheza na jukwa wahuni wana cheza na nyavu mamaee
Gem haijaisha ww kunguruKumbukeni Hao ni Belouizdad wanaowapapasa matako, Najaribu kufkiria mkikutana na Al ahly kitawakuta kitu gani
Wewe KOLO 🤪 tulia kesho mnakandwaMechi ya yanga dhidi ya ahly cairo tutashuhudia mvua ya magoli yanga akifungwa. Yaani sabaa'tuh bin sufur.