Yanii wana kaunta attack sio poaaTuwe makini na kaunta, ila jamaa hawatishi sana.
Shida ni uosefu wa Balance. Mwenyewe nikashangaa utadhani visheni yao mwaka huu ilikuwa ni kuifunga simba.Hamna kitu, Yanga wana kiwewe cha kusifiwa jezi nzuri wakasahau mazoezi.
Nutrition mlango wa dharura ambao sio rasmi isije Raia kunizomea..Unatoka unakwenda wapi?........ lazima tukuzuie usiende kujinyonga....😂😂😂
TupoWamekimbia uzi, maniner 😃😄😁
Lengo langu ni rangi ya kilembaKwa hiyo unampoza machungu?
Nipo Mbeya na najiandaa kuja, nina VIP ticket, sisi sio nyie.Sasa ile offside?
Pili umenunua ticket mechi ya kesho......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waja muacheni shaulile wa jangwani,Hiki kijamaa kinacho chomekea utazani kinasoma lasaba B kumbe hamna kitu
Vumilia au umevaa jeziLikifungwa la 3 natoka kibanda umiza ..
Nifah kapendeza kwa kweli 😂Lengo langu ni rangi ya kilemba
Mpaka mmeshusha ticket elfu tano to elfu tatu........Nipo Mbeya na najiandaa kuja, nina VIP ticket, sisi sio nyie.
mmelewa jezi,
Nashukuru umenielewa[emoji41][emoji41][emoji41]Nifah kapendeza kwa kweli [emoji23]