FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Mpaka mmeshusha ticket elfu tano to elfu tatu........

Kesho hata ukiwa na mche wa Sabuni ya Mo unaingia.
Umoja wa Mataifa sisi-Yani mnatolewa kwa hatua ya awali na hakuna kwenda shirikisho kama mwaka jana.
Sisi ni mbinu yetu kushusha ticketi bei, nyie mnauzaga bei chee, tumeshusha lakini zipo juu ya namna Yanga mnavyouzaga.
 
Back
Top Bottom