Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Km tukishinda basi ni goli moja, hamna ushindi wala droo hapa.Ngoja tuone!
Hakuna shida kwa kesho, lakini kwa sasa macho yetu tumeelekeza kwa mechi inayochezwa sasa hiviMpaka mmeshusha ticket elfu tano to elfu tatu........
Kesho hata ukiwa na mche wa Sabuni ya Mo unaingia.
Umoja wa Mataifa sisi-Yani mnatolewa kwa hatua ya awali na hakuna kwenda shirikisho kama mwaka jana.Mpaka mmeshusha ticket elfu tano to elfu tatu........
Kesho hata ukiwa na mche wa Sabuni ya Mo unaingia.
KabisaAsijemuachia Mshery wataaibika zaidi
Teh teh..😂😂😂..ya kesho yatajisumbukia yenyewe.Hakuna shida kwa kesho, lakini kwa sasa macho yetu tumeelekeza kwa mechi inayochezwa sasa hivi
MalaysiaNimeamua kwenda kualal
Tulieni dudu liingieKwahiyo huu moshi bado unaendelea kutumika na CAF wamekaa kimya?
😂😂Likifungwa la 3 natoka kibanda umiza ..
Ili ujifariji,unatafuta faraja wakati timu yako bado ni ile ile.Hakuna shida kwa kesho, lakini kwa sasa macho yetu tumeelekeza kwa mechi inayochezwa sasa hivi
Nimekuelewa sana mkuuNashukuru umenielewa[emoji41][emoji41][emoji41]
Wahuni tu hao.Kwahiyo huu moshi bado unaendelea kutumika na CAF wamekaa kimya?
Hakuna kulala mpaka kielewekeNimeamua kwenda kualal