FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Umoja wa Mataifa sisi-Yani mnatolewa kwa hatua ya awali na hakuna kwenda shirikisho kama mwaka jana.
Sisi ni mbinu yetu kushusha ticketi bei, nyie mnauzaga bei chee, tumeshusha lakini zipo juu ya namna Yanga mnavyouzaga.
Mbinu yenu kushusha bei...... kweli msimu huu mmekwama.

Sasa nani katolewa hatua ya awali....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…