Rudi hapaNimeamua kwenda kualal
Hakika yatajisumbukia maana hakuna aijuaye kesho yakeTeh teh..[emoji23][emoji23][emoji23]..ya kesho yatajisumbukia yenyewe.
Kwenye hilo group lao, Al Ahly na hawa CRB ndo wanaenda.Mpaka wanafanya sherehe na mabango, hakika Simba ni lidude likubwa
Sub zipoTatizo Pale yanga sub hakuna wachezaji huyu aziz ki alitakiwa apumzike !
NoumaaaWaarabu wanakiwasha..Pira linachezwa hadi siyo poa...
Teh teh teh ππππ ....komaa mpaka mwisho hayo ndio mahaba na uzalendo.ππ
this was my plan too, naenda zangu kulala..
Mbinu yenu kushusha bei...... kweli msimu huu mmekwama.Umoja wa Mataifa sisi-Yani mnatolewa kwa hatua ya awali na hakuna kwenda shirikisho kama mwaka jana.
Sisi ni mbinu yetu kushusha ticketi bei, nyie mnauzaga bei chee, tumeshusha lakini zipo juu ya namna Yanga mnavyouzaga.
Had msemee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
this was my plan too, naenda zangu kulala..
Tulia dawa ikuingie , take it easy usije kufa kwa pressureKosa kubwa maishani mwangu nimelifanya October 18 2022. Ndio siku nilianza kushabikia mpira. Maumiv yake si mchezoπ
Nifanyeje niache jamani, nirudi kwenye muvi zangu
Al ahly december 2 anawapiga tena .Mbinu yenu kushusha bei...... kweli msimu huu mmekwama.
Sasa nani katolewa hatua ya awali....?
Dah!...hii ikitokea itampa mnyama heshima ya kipekee hapa nchini....Kwenye hilo group lao, Al Ahly na hawa CRB ndo wanaenda.
Kule ni Simba na Wydad.
Mark my words.
Sikupingiii.Kwenye hilo group lao, Al Ahly na hawa CRB ndo wanaenda.
Kule ni Simba na Wydad.
Mark my words.
Huyo na jipigia,then round ya pili ya ligi nakugonga tena na kocha wako mpya.Al ahly december 2 anawapiga tena .
Ngombe wa maskini hazai, mwambie UVCCM wafungeLomalisa ananikoshaga sana with his left foot ππ½ππ½ππ½
Well tried