[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiboko ya Waarabu, nje ndani.Sasa vipi mabingwa wa Shirikisho mna la kusema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Siku nyingine mjue kutofautisha kati ya Shirikisho na Club bingwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama ww ulivyo ikalia miko mitano, kuanzia viongozi,wachezaji mpaka mashabiki mmepanic na ticket hamtaki kununua mpaka mmeshushiwa bei au mnajua kesho mnaweza kuikalia miko mingine kutoka Asec.Tulia mwiko ukae vizuri , bado hujasema
Poleeee wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga wanaupiga mwingi sana,kosa kubwa walilofanya ni kuruhusu magoli kipindi cha kwanza,all in all wanaupiga mwingi,wapate hata goli moja jamani.Nasikitika sana,nimekua mpweke sana,mbaya zaidi nimesoma taarifa majuzi,eti upweke ni mbaya sana ukilinganisha na mtu anayevuta sigara.Daaah! matokeo yakibaki hivihivi hadi mwisho,ntakua kama nimevuta pakiti tatu za fegi leo,kwa upweke.
I can't takw it easy that's why nimekimbia kualalTulia dawa ikuingie , take it easy usije kufa kwa pressure
Inapendeza sana kuimba kupokezana leo unalala na maumivu wa mwiko nyuma tokea uingie makundi 1998Yaani ww ndiye unionee huruma wakati kuamzia viongozi ,mashabiki mpaka wachezaji wote mmpanic. Au unzni matokeo ya leo ndio yatabadilisha hali mliyo nayo huko kwenu.
Kwanza ushanunua ticket na kujipatia jezi mpya au na ww umesusa.
Kumbuka mechi yetu ya kwanza makundi shirikisho, mbona unaenda mbali Mkuu?Hata Argentina mechi ya kwanza makundi alipigwa na Saudi Arabia mwisho wa siku akawa bingwa na huo ndio mwendo wa mabingwa ,hata alipigwa bado Yanga ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mashindano haya.
Haya mamoshi kwa nini FIFA wasiyapige marufuku?
Yanatupotezea mashabiki consistency ya burudani.
Ya kesho yatajisumbukia enyewee.Yaani ww ndiye unionee huruma wakati kuamzia viongozi ,mashabiki mpaka wachezaji wote mmpanic. Au unzni matokeo ya leo ndio yatabadilisha hali mliyo nayo huko kwenu.
Kwanza ushanunua ticket na kujipatia jezi mpya au na ww umesusa.
Mbinu za kocha tu mkuu, gamondi kazidiwa hilo.Huyu mwarwbu yupo fit yanga asipokuwa makini atapigwq nnje ndani
Mbona kawaida msimu uliyopita nimeweka historia ambayo ww hujahi kuiweka KWA MUJIBU WA CAF.Inapendeza sana kuimba kupokezana leo unalala na maumivu wa mwiko nyuma tokea uingie makundi 1998
Ndoto za AlinachaHata Argentina mechi ya kwanza makundi alipigwa na Saudi Arabia mwisho wa siku akawa bingwa na huo ndio mwendo wa mabingwa ,hata alipigwa bado Yanga ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mashindano haya.
Hao wenye akili timamu wameshindwa kupanga kikosi ndio wakujibu nini huku mmeshapigwa viwili 😂Pengo la nani limetuangusha? Diara? Mwamnyeto? Au shida iko wapi?
Wajibu wenye akili timamu tu, vichaa hii sio sehemu yenu.
Ya kesho maandalizi yake ni leo na ndio maana ticket za kesho zimeanza kuuzwa tokea Jumatatu.Ya kesho yatajisumbukia enyewee.
Leo ni leo, hatuishi kesho tunaishi leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii michuano inataka magoli, haitaki pira supuu.Ushabiki pembeni.
Hili pira analopiga UTOPWINYO ni mpira wa kikubwa saana, mpira una spidi.