joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Si ndio mwaka huu,we tulia nikifute hiki kichaka chenu cha robo ndicho kilicho bakia,ila ww KWA MUJIBU WA CAF (nazani commentator wa mechi ya fainal ulimsikia) hujawahi kushiriki fainal ya mashindano yoyote ya CAF.Kwani wee Robo final CL umewahii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nifah huyo kwenye picha ni wewe 😋😋Bacca ameiva sana, dogo mzuri 👏🏽👏🏽👏🏽
Aisee heshimu nilichokwambia,niache,ungekua hapa nilipo ningekupiga hata kofi,useme mi siyo mstaarabu.Usini-quote tena.Kwani wee Robo final CL umewahii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli nitajitahidi nifanye hivyo maana nahisi nina moyo mdogo I can't withstand pains. Ngoja nijitahid nirudi kwenye muvi zangu japo napo kunamaumivu ila sio kama huku.Quit kufualitia kila kitu kinachohusu michezo na hakikisha unaweka upenzi wa dhati katika jambo jipya unalotaka kulitumia ili kuacha upenzi wa mpira.Hapa hata ukikutana na watu wanajadili mpira kaa mbali ..Usijindanganye kutaka kufahamu lolot juu ya klabu yako.Vaa miwani ya mbao na dhamiria toka ndani.
Ww nionyeshee hapa hiyo ticket nakutumia Msimbazi.Ticket ninayo VIP B.
Ni kweli yanga hawana direction!? Tusiweke upenzi mbele, mie binafsi nasema yanga yupo vizuri.Speed bila direction ni kazi bure ndugu yangu acha tuelezane ukweli
Hawana uwezo huo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiboko ya Waarabu, nje ndani.
Leo wanashindwa kuthibitisha hilo.
Ushabiki pembeni Hata yanga wakifungwa leo,Wanacheza soka zur Sana na ukiangalia unaona kabisa Hii timu Ina kitu flani japo scoreboard haiko upande wao.
Hii mechi yanga anafungwa kwa uzoefu tu.
.Oneni huyu poyoyo
Ila wewe huku si ulilitia aibu taifa kwa kuchoma nyasi za watu South au umeshau.Haya kule tulisema kwa maluza huku kiumeni vipi mpaka dakika hii umechezea miko miwili hebu ichomoe tuone
Yanarudije kwamfano,ahhh Kimbe axixi ki alikwepo uwanjani namwona akitoka akiingia konkoniDah😳😳 ila yanarudi yote