Wanacheza nn hapo? Mbna mie sioni?[emoji23]
Kauli yangu umeielewa lakini, najua magoli yanahitajika kuamua mechi, mie nawasifia yanga kwa mchezo wanaocheza, wanacheza vizuri.
Yani mnaingia makundi baada ya miaka yote hiyo kuja kuleta aibu kwa Taifa,
Tutakoma leo wanasimba mna maneno nyie😀😀Yani mnaingia makundi baada ya miaka yote hiyo kuja kuleta aibu kwa Taifa,
Mkuu unahesabu chenga watu wanawekaUshabiki pembeni Hata yanga wakifungwa leo,Wanacheza soka zur Sana na ukiangalia unaona kabisa Hii timu Ina kitu flani japo scoreboard haiko upande wao.
Hii mechi yanga anafungwa kwa uzoefu tu.
Badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Second half bado Yanga warejeshe
Dakika 90' + 4 ' = 94
Goaaal !
CR Belouizdad 3 - 0 Young Africans
Bora huyo, Max ndo hata mtangazaji kamtaja si zaidi ya mara 5.Azizi Ki kumbe alikuwepo
Jamani watu mmekuwa wasiri
Mpunguze midomousiku mwema..!!
kesho pia ni siku..
Ahsante..!!